Fanya sana Ibada...kua karibu na Mwenyeezi Mungu..ukijfikiria kujiua wafikirie wagonjwa walioko mahospotalini,wafikirie mayatima wanaoishi vituono wafikirie watoto wa mitaani Kisha mshukuru Mungu...
Nilikua naenda kazini sa3 narudi sasa 8 siku moja nilikua anampa maziwa ya baridi mtoto wangu wa miezi 5😢😢niliumia sana Ile siku hadi natamani niwe mama wa nyumbani nilee wanangu mwenyewe
Arsis vile vijiti vya dawa unaloweka ndani ya wiki halafu unapaka na kunywa vinapatikana/unavyo kwasasa?
na kama hutojali hiyo dawa ya ngozi inaitwaje au inapatikana wapi?
Mi haijanitokea siku nyingi ia ilikua inanitokea kama miaka 8 au 6 iliyopita...ilikua inanitokea masikio yote mawaili then yanapona yenyewe sikujua chanzo nini maana hata baba yangu ilikua inamtokea miaka ya nyuma sana
Tenga muda na mtoto wako uongee nae yani muongee kama wanaume asionewe onewe ajiamini ye ni mwnaume ..ongea na mama ake vizuri ikiwezekana atafutiwe dada wa kazi akae nae mtoto ale lishe bora..afu why unaonekana huna maamuzi yani huyo mama mtoto wako ana mkeo wote ndo wanakuamulia nawewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.