Nashukuru sana mkuu FM.
binti bado under 20 so ntajitahidi kumtaftia kazi na ada arudi shule
Nursing na midwife zitawahi kumtoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado natafuta.
Kazi ikipatikatikana Dar itapendeza zaidi.
Nashukuru sana kwa mdau kutoka Mbeya amenipa shav kubwa sana.
Mungu azidi kukubariki japo nimefeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau naomba tujuzane
Mbali ña watu wa kigoma kuwà watafutaji, na wapambanaji sana linapokuja suala la biashara, huwa najiuliza kuna siri gani ya ziada imejificha?
Muha akifungua biashara yoyote sehemu ambayo biashara ni ngumu kwa wengine kupata wateja, yeye (au wao waha) atajaza sana na kuuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.