Hello JF.
I hope all is well with you.
Nina mdogo wangu (wa kike, 20 years) namtafutia kazi.
Kutokana na pesa kukosa za kumwendeleza kimasomo, nalazimika kumtafutia njia nyingine ambayo ni ajira, arudi shule uwezo ukipatikana!
Elimu yake; kidato cha nne, mwaka 2018
Umri; 20 years
Academic perfomance:
Biology C
Kiswahili.......C
Physics.........D
Chemistry.....D
Civics...........D
Geography....D
English.........D
History.........D
Basic Maths: F
Naomba msaada kama itapatikana nafasi ya kazi itakayomfaa binti wa miaka 20 na elimu hio tajwa hapo juu.
Mawasiliano makuu: 0759330110
Sent using Jamii Forums mobile app
I hope all is well with you.
Nina mdogo wangu (wa kike, 20 years) namtafutia kazi.
Kutokana na pesa kukosa za kumwendeleza kimasomo, nalazimika kumtafutia njia nyingine ambayo ni ajira, arudi shule uwezo ukipatikana!
Elimu yake; kidato cha nne, mwaka 2018
Umri; 20 years
Academic perfomance:
Biology C
Kiswahili.......C
Physics.........D
Chemistry.....D
Civics...........D
Geography....D
English.........D
History.........D
Basic Maths: F
Naomba msaada kama itapatikana nafasi ya kazi itakayomfaa binti wa miaka 20 na elimu hio tajwa hapo juu.
Mawasiliano makuu: 0759330110
Sent using Jamii Forums mobile app