Poleni.
Lakini hawa Wakongo wanaokimbilia TZ ni wakimbizi wa mchongo kutokea ng'ambo ya ziwa Tanganyika. Makundi ya waasi yapo Kivu. Kama kweli wanatokea huko, kwa nini wasikimbilie Uganda, S.Sudan, Rwanda, Burundi ambapo ni karibu, au kubaki DRC maeneo yasiyo na vita.
Matazamio yenu ni...
Mkuu, uko sawa.
Ila ulichosahau ni kwamba, CDM waliona na zamu ya K³T kutawala nchi. Hapo unamkuta Mr.0.
Naomba uweke sawa kumb² zako.
MUNGU IBARIKI TZ
Wahenga walisema "UKISHANGAA YA MUSA, UTAONA YA FIRAUNI".
Kwani hujawahi kuona wafanyabiashara wanafunga migahawa (hoteli) wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani?
Hizo wiki 2 za sikukuu ya Krismas na Mwaka mpya mbona chache sana
Wazo zuri. Tatizo JF kuna kila aina ya tusi, kashfa, majigambo, ujuaji, n.k., n.k... Napendekeza huyo Mkuu wa Chuo awe mbobevu kwa nyanja hizo
Nafikiri JFU itakuwa Chuo Kikuu cha ajabu kuwahi kutokea duniani.
'NAWAZA KWA SAUTI TU'
RIP kwa wote waliopoteza maisha.
Tunawapa pole waliopoteza wapendwa wao.
Majeruhi, tunawatakia afya njema na kuendelea kulijenga Taifa.
Ila, tungesikia mengi endapo hii ajali ingekuwa ni kwa zile 'Mbawa za Kilimanjaro'. IMEISHA HIYO
Kwanza nakushauri:-
*Google kujua kuna aina ngapi za IQ.
*IQ zipi zinazomhusu mhusika (mweusi/mweupe) na kumfanya kuwa mahiri katika mazingira anayoishi.
*Huyo mbaguzi unayemhusudu, unadhani analenga aina gani ya IQ amedhamiria kuitumia katika kumdhalilisha mtu mweusi.
*Hiyo IQ iliyotumia...
Kosa la mlinzi James Mtongori (28) linalo sababisha kushikiliwa na Polisi ni kumpiga risasi pajani kijana Kulwa Sylvester (26) bila ushahidi. James alitakiwa asubiri kupigwa shoka na Kulwa ili ushahidi ukamilike.
Jeshi la Polisi tunawatakia kazi njema, ili HAKI ikapatikane MAHAKAMANI
USA inaongoza kuwa nchi ambayo sio maeneo ya vita lakini ni rahisi kuuawa kwa risasi.
Mtu mweusi kwa USA ni wa kutiliwa mashaka. Kuhojiwa au kukamatwa na Polisi ni wakati wowote, ukileta ubishi risasi inakuhusu.
Kama unaipenda USA ni wewe, sio kila mtu
Sawa. Je! ni haki kwa dereva kutoa lugha chafu na matusi kwa abiria? Je! abiria wakibonyeza hiyo 'button' (kwa bahati mbaya) inayomnyegelesha dereva, ina maana hakuna safari inayoendelea kwakuwa Dereva kachukia?
Kwa hayo mabasi yako uliyotaja (Dar-Moro-Dar) kama wahudumu wana tabia hiyo, ni...
Kinachoendelea ni NATO/EU na Washirika kupambana na Urusi katika ardhi ya Ukraine. Akinamama, Watoto na Wazee waliokutwa katikati ya uwanja wa vita, pamoja na madhara wanayokumbana nayo, wanatumiwa kama ushahidi wa mabaya ya Urusi duniani (Russophobia).
Ni aibu kwa dunia ya sasa tunayotarajia...
Ukiona hivyo, lazima kuna mahali kosa lilifanyika.
Nimeikumbuka NBC iliyouzwa kwa Makaburu baada ya kuvunjwa na kuanzishwa NMB. BAD DEBTS zilizofutwa kwa wadaiwa, inakwenda kuwa BAD WEALTH kwa wanufaika.
YANAZUNGUMZIKA. WAKAE WAKUBALIANE. Vinginevyo, Mali zinavyopatikana ndivyo zinavyotoweka.
Sir Ferguson alijua wachezaji wake umri umekwenda. Kulinda heshima, akang'atuka.
Ni vema MU ijivue gamba kama joka ili irudishe heshima. Vinginevyo kuchukua vijeba kama C.R. inabidi kuvumilia kipondo. HAKUNA NAMNA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.