Nimeipitia rasimu ya katiba, haya maisha yalivyo magumu tukiongeza na rais wa tatu itakuaje, maana kuhudumia marais watatu wenye mawaziri kumi natano manaibu waziri 15 makatibu wakuu ,watu wa usalama Dar es Salaam tutakoma.Sioni kama tunahitaji marais watatu ukingizingatia hali halisi ya uchumi...
Tabby unabwabwaja kama mtu uliyekosa matumaini, sema tu nitajirekebisha we vipi? kama huduma zako mbovu watakuchamba tu . Watu wanataka amani na upendo wew unaleta mikwala wakati unategemea hela zao , Let love lead
Kuna haja ya kujua tafsiri sahihi iliyofichika juu ya uislam, haiwezekani wawe tatizo Duniani kote, huku al kaida, kule bokoharamu ,mara taleban ,Somalia nako.. na wengine wengi kama hao ni Mungu yupi huyo anayefurahia mauaji ya watu wasio na hatia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.