Mi naona ni bora tuachane na huyu mpumbavu kwa sababu tumeshaijua nia yake ya kuivuruga na kuisambaratisha chadema.shibuda tumeshashtuka baba.alafu acha kutishia vijana!
mi naona huyu MWANDOSYA anatuzuga tu kwani kama alijuaanataka kupumzika si angeomba kujihuzulu kabla ya baraza kubadilishwa mi naona ni umbea ty ACHA KUTUZUGA BROOO.
Vaa gwanda nape.mbona una hofu sana bwana mkubwa au na wewe ni mmoja wapo unaogopa kutajwa?chama kimekufa hicho.soma alama za nyakati mbona wenzako wameanza we unaogopa nini nape?
we Nnauye umeshaishiwa na sera so ni bora ukaka kimya ili ulinde heshima yako,mbona una kiherehere sana au na wewe ni mmoja wapo unayetaka kuhamia CHADEMA?huna jipya NAPEEEEE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.