Kutambua ukweli ni mwanzo wa mabadiliko...watu wenye info kama hizi na zile wanazoziita siri za serikali za kutuangamiza watz basi wazitoe...hatuwezi kulala na kuamka tukute mabadiliko, huu ndo mwanzo wa mabadiliko..na siku wakiondoka madarakani hawatakaa wapate nafasi ya kurudi tena...tutatunga...
Sidhani kama ni kweli fursa za ajira Tz leo zinapatikana kwa njia hiyo. Nafikiri ako ni kamradi ka mtu tu. Ajira bongo sasa hv depends on who u knw na co kwa kutumia...!
Thank you Jamii Forum, hope this forum is really a forum for Society and and difficulties of our society are deeply discussed here. I'm glad that I have privilege to share my views here and hope senior members of the forum will assist me while i'm growing.
I hope to get great experience through...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.