Recent content by komasalonde

  1. K

    Sexless: Nashauri kila mzalendo ajitenge na serikali hii kwa kujiuzulu nafasi yake kama alivyofanya Polepole

    Haiwezekani kujiuzulu Tanzania. Sababu njaa haina baunsa broo
  2. K

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Lucas Mshamba atalilia wapi machozi ya furaha kububujikwa shangwe ya kutiki ?
  3. K

    Tusipochukua maamuzi magumu Taifa letu la Tanganyika litapotea kabisa

    Tanganyika hii NYERERE mwenyewe aliiponda akaiuza kwa wazanzibar. Malechela alitaka kuipiga chini Zanzibar na kuianzisha Tanganyika wakati wa Mwinyi, walipojitokeza wabunge 55 au G-55,, Nyerere akaja juu kuutetea muungano hadi akamtungia Malechela kitabu. Wa kumlaumu ni Nyerere aliyeiua...
  4. K

    Sheikh kule Iran ahuzunika kwa namna wananchi wa Iran wanauacha uislamu na misikiti 50,000 imefungwa

    Hiyo haifanyi Imani kuu za uislam, budha, Hindu, Shintoism, christian and others kutokuwa na maandiko au vitabu. Kama Imani za kiafrica hazina rejea ndiyo maana zinakufa au kutoweka.
  5. K

    Sheikh kule Iran ahuzunika kwa namna wananchi wa Iran wanauacha uislamu na misikiti 50,000 imefungwa

    Ha Hakuna taasisi, Mila, desturi, Imani, itikadi, isiyo na rejea ya andiko. Bila andiko hakuna MUNGU, hakuna shetani hakuna Kanisa hakuna msikiyi, hakuna dhehebu au chochote.
  6. K

    Sheikh kule Iran ahuzunika kwa namna wananchi wa Iran wanauacha uislamu na misikiti 50,000 imefungwa

    Sawa, yuko kwenye maelezo ya kitabu gani cha kiroho, au makala gani au gazeti lipi
  7. K

    Sheikh kule Iran ahuzunika kwa namna wananchi wa Iran wanauacha uislamu na misikiti 50,000 imefungwa

    Wokovu unaousema au huyo Bwana watamjuaje bila dini fulani. ???
  8. K

    Hadithi za wapagani wa kiarabu ndani ya Quran

    Kitu kimoja nawakubali waislam ni ubingwa wa kutukana. Huwawezi, wako vizuri kwa hilo. Na kwao matusi sio dhambi ni lugha ya kawaida,
  9. K

    Hadithi za wapagani wa kiarabu ndani ya Quran

    Amechambua amenukuu watafiti. Upumbavu wao waachie wenyewe, na wewe uwajibu kwa kukanusha kwa tafiti na uchambuzi pia.
  10. K

    Hadithi za wapagani wa kiarabu ndani ya Quran

    Matusi hayatoi jibu broo. Ukitukana wataogopa na hawajifunzi lolote kwa dini yako wala kivutiwa.
  11. K

    Ripoti ya IMF (2025): Tanzania Miongoni Mwa Nchi 10 za Afrika Zenye Deni Kubwa la IMF

    Hiyo dunia nzima ndiyo gani chalii. Wanaolipa wangekuwa wa Kikwajuni, Mchambawima, Chake chake sawa. Maana ndiyo waliyokopa na ndiko zinakojenga. Ukope wewe nilipe mimi, huo ni utumwa na ubabe broo.
  12. K

    I wonder if you actually think they will hesitate to do it ? Tundu Lissu atanyongwa !

    Umesema amepewa kosa la uhaini, kumbe hakutenda uhaini ila amegawiwa, amezawadia uhaini.
  13. K

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Sawa. Wachina wameonesha magobole yao, sasa wachokoze ndiyo ujue za Siri wanazo au walionyesha zote. Mwafrica hana mnyonge wake wa kumtambia labda hao wanyama wanaowafuga tu.
  14. K

    Hope is fading away

    Wasio kuwa na lolote ndiyo hudharauliwa ?? Nilitaka kujua, sababu za chuki kubwa uliyo nayo kwake. Mpenda haki huchukia uovu na uonevu. Kama huna sababu basi unalipwa how much ???
Back
Top Bottom