Recent content by komandokipensi

  1. K

    Kwanja mbezi mpigi Magohe 8,000,000

    hapana mkuu, kiko sehemu nzuri tu, hakiko juu ya bomba wala ndani ya hifadhi ya barabara. unaweza kuja kukiona
  2. K

    Kwanja mbezi mpigi Magohe 8,000,000

    ni eneo la makazi mkuu.
  3. K

    Kwanja mbezi mpigi Magohe 8,000,000

    mkono uliteleza mkuu sio nane ni nne.
  4. K

    Kwanja mbezi mpigi Magohe 8,000,000

    Kiwanja kipo mpiji mwisho (kwa kengega) kina meter 30*30, kipo karibu sana Barabara. Maongezi yapo Sent from my BlackBerry using JamiiForums
  5. K

    Shamba eka 20 msowero (morogoro) bei chee

    Shamba lina ukubwa wa eka 20, lina kisima cha maji (hayakauki muda wote), nyumba ya kukaa, liko morogoro msowero,ni sehemu nzuri kwa kufuga nyuki, bwawa ya samaki, kilimo n.k bei ni milioni kumi tu, mawasiliano:0774797679
  6. K

    Je wajua ndoto husababishwa na nini?

    Duh! Hii noma! Wadudu gani hao? Sent from my BlackBerry 9520 using JamiiForums
  7. K

    baada ya kuibiwa sana huyu msanii katoka na hii style

    Ha ha figganigga MIA. Sent from my BlackBerry 9520 using JamiiForums
  8. K

    Eneo la kituocha mafuta, shule e.t.c mbezi luis

    kwa anae hiataji maeneo sehemu za mbezi luis kwa ajili ya kituo cha mafuta, kujenga shule, kiwanda e.t.c ani PM, hata ya kukodisha yapo.
  9. K

    Mwanafunzi chuo kikuu UDSM apigwa risasi- Afariki

    Hv usalama wa wanafunzi wa kike ukoje huko? Si ndo full kubakwa...it's time chuo kiamue kufyeka yale mapori Sent from my BlackBerry 9520 using JamiiForums
  10. K

    Natafuta nyumba ya vyumba viwili kwa tsh 4000000

    unataka yenye uzio na parking? fanya miezi sita nikupeleke kawe basi.
  11. K

    Zinahitajika kati ya hekta 1200 hadi 9000 hekta za ardhi

    mwenzenu nilitoroka shule, hivi hekta moja ni saa na eka ngapi?
  12. K

    Bata mzinga Bata bukini

    unapatikana wapi mkuu? nataka sana hayo mayai
  13. K

    Bei ya mawe aina ya quartz ikoje?

    jamani, nina mawe ya quartz karibu kilo 100+, nataka kuyauza sasa sijajua bei yake ikoje, naomba mnisaidie
  14. K

    je unatafuta eneo la kuweka yard mbezi louis?

    eneo lenye ukubwa wa square metre 6800 linakodishwa, eneo liko metre 400 toka mbezi high school pembezoni mwa barabara ya mpigi magohe, kuna nyumba kubwa inayofaa kwa ofisi au makazi, linafaa kwa kupaki magari, sheli, shule n.k mawasiliano 0774797679
Back
Top Bottom