Shamba lina ukubwa wa eka 20, lina kisima cha maji (hayakauki muda wote), nyumba ya kukaa, liko morogoro msowero,ni sehemu nzuri kwa kufuga nyuki, bwawa ya samaki, kilimo n.k bei ni milioni kumi tu, mawasiliano:0774797679
Hv usalama wa wanafunzi wa kike ukoje huko? Si ndo full kubakwa...it's time chuo kiamue kufyeka yale mapori
Sent from my BlackBerry 9520 using JamiiForums
eneo lenye ukubwa wa square metre 6800 linakodishwa, eneo liko metre 400 toka mbezi high school pembezoni mwa barabara ya mpigi magohe, kuna nyumba kubwa inayofaa kwa ofisi au makazi, linafaa kwa kupaki magari, sheli, shule n.k mawasiliano 0774797679
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.