Haya ndo kayaongea kaponda nami nimeyawakilisha bodi haina nguvu nguvu kapewa msimamizi mkuu wa kituo yaaani yeye ndo mununuzi wavifaaa msafirishaji yeye namuweka stooo yeye na mgawia mafundi yeye shida iko hapo.Na kasisitiza akumbukwe kwenye mgao wa pesa itakayobaki.
Habarini wapenda maendeleo. Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa ufupi tu mimi ni mdau katika maendeleo ya nchi yetu na nimekuwa ziarani katika mikoa mbali mbali ya tanzania nakuona muamko wa wadau mbali mbali katika ujenzi wa vituo vya afya na ujenzi wa madarasa...
Habarini wadau.
Nimejaribu kupitia juu ya miradi inayoendelea wilaya Mbinga na Songwe. Kama Tanzania nzima ndio inatekelezwa kwa utaratibu wa namna hiyo lazima basi uzalendo wetu upo kwenye matumbo yetu.
Na ni hatari sana kuwa na watu wa aina hii katika taifa letu.
Miongoni mwa mambo...
Kama nilivyosema most of the head of School are legalized bandits sasa kwenye Captation za ada wanaiba ? Je kwenye mamilioni haya ya ujenzi si ndio balaaa maanake mafundi waliotafuta upande wa ujenzi ni walevi kupindukia kwa sababu ya cheap price na chajuu tunahitaji kujenga shule ambazo...
Habari wanajukwaaa.
Mimi ni mdau wa elimu na pia wa maendeleo ya wananchi kwa nimekuwa mfatiliaji mzuri wa maswala ya ujenzi hasa kipindi hiki ambacho tamisemi kupitia Rais wetu Samia Suluhu wamezamilia wanafunzi wote watakaoanza kidato cha kwanza mwakani waripoti wote.Lakini nimegundua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.