Komando tamimy
Senior Member
- Nov 18, 2020
- 108
- 121
Habarini wadau.
Nimejaribu kupitia juu ya miradi inayoendelea wilaya Mbinga na Songwe. Kama Tanzania nzima ndio inatekelezwa kwa utaratibu wa namna hiyo lazima basi uzalendo wetu upo kwenye matumbo yetu.
Na ni hatari sana kuwa na watu wa aina hii katika taifa letu.
Miongoni mwa mambo yanayofanywa na wakuu wa shule katika wilaya hizi hayakubaliki.
Nani hatari sana kwa mustakabali wa taifa letu.
Yaani ujenzi wamewapa watu walevi? Mtu anajenga jengo la shule huku anakunywa pombe ?
Mmmmmmhhhh sijawahi ona Tanzania hii. Kwanini suala la mafundi wameachiwa wakuu wa shule.
Wengi wao wameishia kutafuta cheap workers, sasa ni hatari sana kwa mstakabali wa maendeleo yetu.
Wengine wameishia kutishiana na watendaji wa kata. Wakuu shule waondolewe kwenye usimamizi wa pesa hizo kwani kuna majanga makubwa yatakuja.
Nimejaribu kupitia juu ya miradi inayoendelea wilaya Mbinga na Songwe. Kama Tanzania nzima ndio inatekelezwa kwa utaratibu wa namna hiyo lazima basi uzalendo wetu upo kwenye matumbo yetu.
Na ni hatari sana kuwa na watu wa aina hii katika taifa letu.
Miongoni mwa mambo yanayofanywa na wakuu wa shule katika wilaya hizi hayakubaliki.
Nani hatari sana kwa mustakabali wa taifa letu.
Yaani ujenzi wamewapa watu walevi? Mtu anajenga jengo la shule huku anakunywa pombe ?
Mmmmmmhhhh sijawahi ona Tanzania hii. Kwanini suala la mafundi wameachiwa wakuu wa shule.
Wengi wao wameishia kutafuta cheap workers, sasa ni hatari sana kwa mstakabali wa maendeleo yetu.
Wengine wameishia kutishiana na watendaji wa kata. Wakuu shule waondolewe kwenye usimamizi wa pesa hizo kwani kuna majanga makubwa yatakuja.