"Nasikia leo hii jaji aliyetoa hukumu ameitwa ikulu, kwasababu kwanini hakutekeleza kama alivyoambiwa? Kumpa adhabu mh Lema ya miaka mi5 ya kutojishughulisha na mambo ya siasa. Naona imekula kwa jaji, hata pata fungu alilohaidiwa."
UNA UHHAKIKA NA USEMAYO??? AU UMEROPOKA TU????
"Huyu akimu naskia alichanjwa chale za matak.o.ni na Profesa Maji Marefu. Ukimuuliza karatasi za hukumu za kesi zina rangi gani? Anakutajia, kijaniiiiiiiiiiiiiii"
WATCH UR TONGUE, HUJUI ULISEMALO!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.