Huyo teacher achunguzwe vizur, shule yenyewe ya kata na iko mbali na mji kwa nini amrudishe mwanafunzi et kisa kasahau kuvaa tai, kwan hakukuw na adhab zingine? Chonde walimu wakat mwingine mfikirie usalama wa wanafunzi kuliko adhab
Aseme ukweli aondolewe huo ukuu wa mkoa? Ndo tz yetu kila kitu ni kusifia tuu nae et mwanaume na ana familia, hiv unaogopa nini kusema ukweli kama kumenuka si unasema? Mi nawachukia watu kama hao watu wanakufa unasema hakuna akiyekufa, lema kasema dhambi kubwa kuliko zote ni uoga, magamba...
Nakushaur rud h'tal waangalie na vipimo vingine kama u.t.i inasumbua sana watoto ukiona bad tafuta mama mtu mzima anayejua dawa za watoto yawezekana ukawa mchango au ukaptula
Mi nashauri kutumia mizizi ya bamia, chukua mizizi iliyokwisha komaa na bamia kuchumwa, osha mizizi vizuri kisha ianike halafu twanga ili kupata unga. Weka nusu kijiko kidogo cha chai katika chai au uji unashauriwa kufanya zoezi hilo siku ambazo unajua uko na mama karibu .....
Mi namsaport huyo mwl sana tuko nyuma yake na mbaya zaid utake kujiendeleza mikwara kibao wakiona wameshindwa utasikia kajisomeshe ukikubali unaambiwa walimu wachache, jaman serikal mnataka nini? Hamtak sekta ya elimu iwe na walimu? Kama hamtak bas achen kuajir na mpunguze manyanyaso hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.