Maisha ni magumu kila mahali hata huku mtaani pia, afadhali ya wewe mwalim ambaye unapata mshahara. Kinachotakiwa ni kufanya kazi kwa bidii, kufikiria hata biashara ndogo ya kukupatia kipato mbadala tofauti na mshahara. Hata wanaolipwa milioni kumi kwa mwezi haziwatoshi nao wanataka waongezewe. Don over spend, don misuse...be economical
Sasa wewe mbona
unaishi kwa kujipendekeza kwa akina Napelwa pale Lumumba na wanakutuma
tuma kutpost utumbo huku ili upate shs 5000 kwa siku za kuendesha
maisha. Huoni mwenzako anafanya kazi za mikono yake na kuishi vizuri.
Boss wako Mwigulu aliiba mke wa kada mwenzio pale Igunga saa saba za
mchana kweupee, na wewe angalia vizuri ndoa yako maana hicho chama chenu
kuaminiana kuko chini sana
baada ya kusoma hoja
zako, nmemtafuta ticha aliyenipa hii barua na kumuuliza, majib yake ni
kama ifuatavyo:
"hapa Dar sina ndugu, kama yupo bac hatufahamian, nlihitim kitado cha
nne mwaka 2010, matokeo yang n division IV ya point 26 kama
Civ- C, Hist- C, Kisw-B, Eng-D, Geo-D, Bio-F na Math-F= kwa kuwa ckuweza
kusomeshwa private nlienda kusomea ualimu ila kwa sasa nmeanza kusoma
masomo ya advance pale Aman centre na mwakan Mungu akipenda natarajia
kufanya mitihan ya form six.
wazaz wang wapo Mbeya na hata leo asubh nmeongea nao anayesema
nimewatosa wazaz wang ana lake jambo, hata kwa bahati mbaya siwezi
kuwatosa wazazi wangu.
kukopa n kweli nlikopa NMB lakin sio million 10, nlikopa million moja,
nkanunua shamba (Mbozi) laki 5, familia nliipa laki 2 (baba na mama laki
1 na nusu, mdogo wang elf 50) lengo n kwamba waanzishe biashara ili
wapungze utegemezi kwang. kiaskilichobaki nlitumia kukipendezesha chumba
chang, naamn watu wanajua n kiasi gani cha pesa walim tunapewa kwa ajil
ya kuanza maisha.
Hiyo sio take home, ni basic salary, bado kuna makato mbalimbali kama kodi, NSSF, sijui nini, n.k, kinachobaki hapo ndio mwalimu anachukua.Kama mshahara wa mwalimu ni huu kwa mwezi na nikifananisha na mishahara ya wabunge, ukweli sina la kuchangia.
Mliambiwa hataki kura zenu bado mkajipendekeza.
Nikilinganisha uwezo wa walimu wa primary, ni dhahiri uwasilishaji huu wa maelezo umefanywa na mwalimu halisi kama alivyojitambulisha. Ila nimecheka sana namna alivyotoa maelezo yake na NIMEHUZUNIKA sana namna alivyowasilisha dhima yake. Huyu mwalimu amesema chai asubuhi 200/ unadhani ni chai ya namna gani hii?
Kila kitu ameweka katika lowest estimates lakini huo mshahara wake hautoshi maskini. Kwa kifupi Rais wa Nchi hii ambaye watu kama huyu waliowasilisha mawazo kama haya walisimama (wengine) masaa 10 ili wakupigie kura jukumu lako la kwanza ilikuwa kuondoa class hii kwa kutumia rasilimali zilizopo.
Kwa sisi ambao tunajua thamani ya rasilimali zinazopatikana tanzania, tunajua kuwa ni uzembe na wizi tu unaosababisha class hili kuendelea kuwepo hapa tz, na kwa minajili hiyo Huenda PEPO ya Mungu hautainusa.
Ndiyo, dini inasema ukijiona si muadilifu usitake uongozi kwani utakupeleka motoni na ukijiona muadilifu watu watakuomba uwe kiongozi na utakupeleka peponi-I hope kwa lugha niliyotumia hapa ina-match na ya mwalimu wangu Mwambije
Naamin ujumbe umefika.....ila duh nilikuwa na mpng wa kusomea ualim,naanza kukata tamaa
Maisha ni magumu kila mahali hata huku mtaani pia, afadhali ya wewe mwalim ambaye unapata mshahara. Kinachotakiwa ni kufanya kazi kwa bidii, kufikiria hata biashara ndogo ya kukupatia kipato mbadala tofauti na mshahara. Hata wanaolipwa milioni kumi kwa mwezi haziwatoshi nao wanataka waongezewe. Don over spend, don misuse...be economical
MKUU, kumbe lengo la hiyo barua ni kujenga hoja ya jumla kwa walimu wote? ila kumbuka hiyo barua ni personal na wala si ya kikazi. kajieleza yeye na si walimu wote. ukiangalia kwa makini matumizi yake utagundua kuwa hayana uhalisia kama nilivyofafanua hapo juu. pia nimeeleza kuwa huyu mwalimu namfaham na hastahili kuwa mwalimu kama serikali itaamua kubana na kufuata haki. hastahili pia kudai kitu ambacho hastahili kukipata. huyu ni miongoni mwa watu waliokimbilia ajira ya ualimu baada ya kufanya vibaya kwenye mtihani wa form four. ni kielelezo kiigizo kibaya cha fani ya ualimu.
Wewe kwa akili zako unadhani serikali itaongeza zaidi ya 20,000/-Tanzania hii ys ccm sio ya kufanya maajabu hata siku moja,, nauli zimepanda maisha yamepanda watakachoongeza utacheka mwenyewe, utarudi hapa kuniambiaMishahara ya walimu na watumishi wa umma kwa ujumla inapanda katika bajeti inayoendelea dodoma
Mkuu Shoo sijaona matibabu au mwalimu haumwi?
Haya inatosha turudi kwenye mada.kwenye historia ya kupora wake za watu ni chadema. ona baba lenu halina hata haibu. limeukuzwa upadre kwa tamaa za kimwili. likaoa likatelekeza familia. kana kwamba haitoshi likapora mke wa mtu. looo aibu!
mkoa wa ruvuma wilaya ya mbinga kuna shule za msingi ziitwazo dar pori,lunyere,mpepo na mitomoni ziko zaidi ya km 190 toka makao makuu ya wilaya na nauli ni sh50,000.00 kwenda na kurudi.na ukifika mbinga ambapo ni mji lazima ukae kuanzia siku 3Naamini hiyo ndo hali ya maisha wanayoishi walimu wengi hapa nchini.Walimu wanaishi maisha duni sana, makazi yao ya hovyo, wengi wao wako mbali na huduma za kijamii, licha ya kwamba wanafanya kazi kubwa na ngumu lakini nchi hii imeamua kwa makusudi kuwatelekeza na kuwasahau wao na sekta nzima ya elimu.Hii nchi ya kipumbavu kabisa, pamoja na namna wanavyowa treat walimu wa nchi hii bado wanategemea miujiza kwenye matokeo ya mitihani ya kitaifa....!HUYO MWALIMU HAPO BADO HAJAWEKA FEDHA ZA NAULI KWENDA KUUFUATA HUO MSHAHARA WENYEWE. Wapo walimu na watumishi wengine wanaosafiri zaidi ya kilomita 100, kufuata mshahara, tena inampasa kuanza safari saa 10 usiku, na analipa nauli zaidi ya shilingi 10000/kwa safari.KUNA HAJA YA KUSIMAMA NA WALIMU KATIKA KUDAI MASLAHI NA HALI BORA ZA MAISHA ILI HATIMAYE WAWEZE KUTUFUNDISHIA WATOTO WETU VEMA.