Tutaendelea kumkumbuka sana mheshimiwa Lowassa kwa sababu ameleta sana maendeleo katika nchi yetu hasa katika jamii maskini kama jimbo lake la monduli hii inatokana kwa kauli mbiu yake ya elimu kwanza
haya yanasihirisha kwamba hata jamii za ufugaji wamebadilika sana na kuipa elimu kipa umbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.