Badala ya kuzungumzia maadili yahusuyo rasilimali za taifa mtu anazungumzia maadili ya watoto kuangalia internet? mbona nchi yetu kuna watu wana mawazo mgando hivi? Zama hizi ni za kuzungumzia nani anamiliki mtandao fulani? Nimeshtushwa sana! Na kwa hoja hiyo mtu anapata ze posho?
mbona hizi picha hazitoi udhibitisho kuwa hapo ni USA? na kama alikwenda USA, aliyepost atuambie mbowe alikuwa anafanya nini chenye maslahi kujadili humu, vinginevyo tunaweza kuishia kujadili safari binafsi za mtu.
hawa jamaa wa chama kikongwe pengine wamepata hasira kwa mwenyekiti wao kuwakana mambo ya miposho ya usingizi. sidhani kama hasira kubwa ni mapendekezo yao kuonekana pumba ila kukosa miposho. hebu wapeni lakini tano kila kikao muone watakavyopitisha hayo marekebisho hata kama mapendekezo...
Kwa wengine kama hao waliopo pichani ni sleeping allowance, kwa wengine ni just sitting allowance, kwa wengine ni makofi allowance na kwa wengine ni working allowance at least kwa kukumbuka kutetea maslahi ya wapiga kura!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.