Hivi manyangau hutafuna watu siyo? Mbona kama hatishiki ... kumbukumbu za figisu za unaibu spika bunge la katiba uliziona weye? labda israeli awasaidie tena ... vinginevyo unafki mtupu. Cheki mijizi ilivyorejea kitaani na matanuzi yaleyale. Hii mijitu ni marafiki wa watoto waleeeee ... midalali...
Afazali hujaenda UHUTUNI ... lilikua suala la mda tu. Jammaa kapewa na kuongezewa kamba ndefu akazani ni ya kufungia Punda kitoweo. Kumbe urefu wake ni toshelezi kujinyonga. Fait accompli!
Muarobaini wa UCHWARA unadhihirika kila kukicha, HITAJI LA KATIBA MPYA mambo yawekwe sawa. Nakiri hapa kwamba CHAMA TWAWALA hakiwezi hata kidogo kutotoa UCHWARANI walikotufikisha. Vinginevyo basi tusingekua tunaelekea kuzima kwa spidi hii. Mambo ya hovyo hovyo kila kona. Kama Haiti vile...
Rest of his thugs, you inclusive know and remain accessories. Unless you managed the neat trick of posting nonsense from HELL, you must be well above 6 feet, arent you?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.