Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,742
Ndio tanzania yetu kwa sasa imekuwa na UCHWARA mwingi kuliko uhalisia. Yaani unakuta mtu anayejiita mwanasiasa naye ni uchwara hamna kitu anachokifahamu vizuri au anachosimamia isipokuwa mihemko na ubinafsi. Chama nacho ni uchwara, hakina msimamo unaoeleweka au misingi ya chama kinaendana na mwenyekiti uchwara ambaye ni mwanasiasa uchwara. Ana ubepari au ujamaa uchwara. msimamo wake nao unakuta ni uchwara, elimu yake ni uchwara, maisha yake ni uchwara. falsafa uchwara na huku akijidai mzalendo uchwara.
Yaani hawa wanasiasa "ZILONGWA MBALI, ZITENDWA MBALI" Hakuna ambacho wanasimamia kinachoeleweka isipokuwa tu maslahi yao binafsi. wengine wanaenda mbali kabias na kudhani kuvaa bendera na madera, tai na vitambaa vyenye bendera ndo uzalendo huku ukiwaangalia ni very uchwara.
Hii nchi tumefikia hata wananchi nasi tumekuwa uchwara tu wabunge wanasimamia maslahi uchawara kwa kupitisha bajeti uchwara. Wanajenga hoja uchwara na kutoa misimamo uchwara kwa ajili ya ubinafsi wao tu. Inaumiza sana. Nasi tumekuwa wananchi uchwara. tunanyanyaswa maana hatuna nguvu. Tuna mapenzi uchwara. Itikadi uchwara na hata hatujali. Yani ukiangalia ni TAIFA UCHWARA NA MAMBO UCHWARA TU.
Nami nimeandika thread uchwara na kujifanya kichaa uchwara.
Yaani hawa wanasiasa "ZILONGWA MBALI, ZITENDWA MBALI" Hakuna ambacho wanasimamia kinachoeleweka isipokuwa tu maslahi yao binafsi. wengine wanaenda mbali kabias na kudhani kuvaa bendera na madera, tai na vitambaa vyenye bendera ndo uzalendo huku ukiwaangalia ni very uchwara.
Hii nchi tumefikia hata wananchi nasi tumekuwa uchwara tu wabunge wanasimamia maslahi uchawara kwa kupitisha bajeti uchwara. Wanajenga hoja uchwara na kutoa misimamo uchwara kwa ajili ya ubinafsi wao tu. Inaumiza sana. Nasi tumekuwa wananchi uchwara. tunanyanyaswa maana hatuna nguvu. Tuna mapenzi uchwara. Itikadi uchwara na hata hatujali. Yani ukiangalia ni TAIFA UCHWARA NA MAMBO UCHWARA TU.
Nami nimeandika thread uchwara na kujifanya kichaa uchwara.