Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,729
- 29,260
Basi Magufuli hakuwa makini na maamuzi yake. alikuwa na vyombo vyote vya usalama chini yake. kwann hakuvitumia kuchunguza kwanza? au na yeye alikurupuka?Chadema ndiyo waliomdanganya Magufuli kuwa Manji ni fisadi hawa ndo wa kulaumiwa. Magufuli alikosea sana kufikiria Manji ni Fisadi papa kama Chadema walivyotaka aminisha nchi.