CHADEMA mumuombe msamaha Yusuph Manji ama sivyo atawashtaki

Chadema ndiyo waliomdanganya Magufuli kuwa Manji ni fisadi hawa ndo wa kulaumiwa. Magufuli alikosea sana kufikiria Manji ni Fisadi papa kama Chadema walivyotaka aminisha nchi.
Basi Magufuli hakuwa makini na maamuzi yake. alikuwa na vyombo vyote vya usalama chini yake. kwann hakuvitumia kuchunguza kwanza? au na yeye alikurupuka?
 
Chadema ndiyo waliomdanganya Magufuli kuwa Manji ni fisadi hawa ndo wa kulaumiwa. Magufuli alikosea sana kufikiria Manji ni Fisadi papa kama Chadema walivyotaka aminisha nchi.
Ndo walimchochea Magufuli amkamate kwa "uhujumu uchumi", wakamshauri Magufuli aagize manji apimwe mkojo kutwa mara 3 kwa siku 70!, 😂😂😂
 
Basi Magufuli hakuwa makini na maamuzi yake. alikuwa na vyombo vyote vya usalama chini yake. kwann hakuvitumia kuchunguza kwanza? au na yeye alikurupuka?

Yeye alitimiza kwa nafasi yake. Na Chadema wamwombe msamaha Manji kwa kumsingizia. Kuwa ni Fisadi na Mhujumu Uchumi. Kama ambavyo walimsingizia Lowassa.
 
Yeye alitimiza kwa nafasi yake. Na Chadema wamwombe msamaha Manji kwa kumsingizia. Kuwa ni Fisadi na Mhujumu Uchumi. Kama ambavyo walimsingizia Lowassa.
No hakufanya kwa nafasi yake, alikuwa mzembe kuamini chadema badala ya vyombo vya usalama. Alikuwa mzembe
 
Kwenye list of shame 2012 na Yusuph Manji mlimtaja. Mkaja mtaja pia kuwa ni Fisadi Papa.

Mlihusika sana kumchafua mfanyabiashara wa watu. Mkahusisha na Madawa ya kulevya.

Mwaka 2015-17 (kama sikosei) ikaja kuonekana kuwa hakuwa fisadi wala hakuwa anahusika na hizo biznez kwa maelezo yenu wenyewe. Na sasa amerudi kweli mnasema alionewa muwekezaji huyu mahiri mzalendo.

Je, hamuoni kuna haja ya kumuomba msamaha Mwekezaji wetu Mzalendo na kuanza msafisha na zile kashfa zote ambazo mlimsingizia mfanyabiashara wa watu?
Manji hana chuki na Chadema

Vp kwani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa dar alivyomdhalilisha hadi kumletea sekeseke
Vp alimuomba msamaha!

Ova
 
Kwenye list of shame 2012 na Yusuph Manji mlimtaja. Mkaja mtaja pia kuwa ni Fisadi Papa.

Mlihusika sana kumchafua mfanyabiashara wa watu. Mkahusisha na Madawa ya kulevya.

Mwaka 2015-17 (kama sikosei) ikaja kuonekana kuwa hakuwa fisadi wala hakuwa anahusika na hizo biznez kwa maelezo yenu wenyewe. Na sasa amerudi kweli mnasema alionewa muwekezaji huyu mahiri mzalendo.

Je, hamuoni kuna haja ya kumuomba msamaha Mwekezaji wetu Mzalendo na kuanza msafisha na zile kashfa zote ambazo mlimsingizia mfanyabiashara wa watu?
Wewe ni wakili wa Manji mkuu? Kama alichafuliwa kwanini hakwenda Mahakamani kuishtaki CHADEMA?
Mambo mengine muwe mnakaa kimya tu.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Hacha umbea wewe mtoto wa kike, vp bwanako ulimpa cha asubuhi?,
Kwenye list of shame 2012 na Yusuph Manji mlimtaja. Mkaja mtaja pia kuwa ni Fisadi Papa.

Mlihusika sana kumchafua mfanyabiashara wa watu. Mkahusisha na Madawa ya kulevya.

Mwaka 2015-17 (kama sikosei) ikaja kuonekana kuwa hakuwa fisadi wala hakuwa anahusika na hizo biznez kwa maelezo yenu wenyewe. Na sasa amerudi kweli mnasema alionewa muwekezaji huyu mahiri mzalendo.

Je, hamuoni kuna haja ya kumuomba msamaha Mwekezaji wetu Mzalendo na kuanza msafisha na zile kashfa zote ambazo mlimsingizia mfanyabiashara wa watu?
 
Chadema ndiyo waliomdanganya Magufuli kuwa Manji ni fisadi hawa ndo wa kulaumiwa. Magufuli alikosea sana kufikiria Manji ni Fisadi papa kama Chadema walivyotaka aminisha nchi.
Jiwe alikuwa anafanya kazi kwa maelekezo ya CHADEMA hivyo hakuwa na namna bali kumfilisi Manji kama alivyoamrishwa na hao CHADEMA.
 
Jiwe alikuwa anafanya kazi kwa maelekezo ya CHADEMA hivyo hakuwa na namna bali kumfilisi Manji kama alivyoamrishwa na hao CHADEMA.
Halafu chadema wakaja tena kuwa watetezi wa Manji? Hawa jamaa hawaeleweki kabisa.
 
Back
Top Bottom