Recent content by kobokocastory

  1. kobokocastory

    CV za Mawaziri wa Afya kutoka nchi baadhi za Afrika

    Nadhani kuna umuhimu wa kufanya marekebisho ya sheria zetu ili ifike wakati sasa na sisi tuwe tunawafanyia vetting hawa mawaziri wetu. The likes of akina Dr. Ngugulile tunawaacha au kuwaweka pembeni hadi wanapata kazi WHO huku sisi thamani zao tunazibeza.
  2. kobokocastory

    Sura ya 4 ya andiko la Mpina nimelia kwa uchungu nchi inavyochezewa

    With due respect to this facts....., kwa nini tusipate facts pia kutoka upande wa pili ili analysis ianze hapo na hoja zianze kujengwa?
  3. kobokocastory

    Uzi wa kutafutana waliopoteana kwa muda mrefu

    Aiseee huyu mwalimu bado yupo?
  4. kobokocastory

    Uzi wa kutafutana waliopoteana kwa muda mrefu

    Umesoma mwanza shule na wewe kumbe? By the way nilipita shule hiyo A level (2005-2007)
  5. kobokocastory

    Mtaala Mpya wa Elimu Kenya, Competency Based Carriculum (CBC). Sisi bado tuko busy na kukaririsha watoto

    Its a high time nadhani wamegundua kumpima mtu uwezo wake kwa kutumia mitihani miwili, mitatu au hata mitano sio njia sahihi ya kupima uweledi na uwezo halisi wa mwanafunzi. Nadhani hii itafungua milango kwa nchi jirani na hasa za Jumuiya Ya Afrika Mashariki kujifunza kitu ili walau tuweze...
  6. kobokocastory

    Njia Sahihi ya kumpima Bashe ni Exports and Imports katika mazao ya kilimo

    Hii issue ni ngume ku~appreciate moja kwa moja manaake kwa mfano msimu huu wa kilimo wakulima wanateseka sana mbolea bei haishikiki lakini serikali iko kimya. Nilidhani serikali walau ingeingilia kati na kutoa tamko kama sio kutoa ruzuku walau wakulima wapate nafuu. Soko la mazao kama mahindi...
  7. kobokocastory

    Nape, wakati huu wa mdororo wa uchumi tulipaswa kubana matumizi, usitumie chopa ya JWTZ ni gharama

    Nina imani kuna siku wananchi watachoka na hizi tabia na siku wakichoka ndio itakuwa anguko kuu la CCM. Ifike mahala watambue kwamba kuwatumikia wananchi ni suala la kujitolea kwa asilimia kubwa na sio kutaka kula bata tu.
  8. kobokocastory

    Uhaba wa madarasa, wanafunzi madarasa mawili tofauti ndani ya jengo moja, walimu wawili wafundisha muda mmoja

    Viongozi wetu wanatakiwa kushuka chini sana ili kuweza kupata picha halisi za matatizo na changamoto zetu. Na natamani ifike mahala tupunguze gharama kwenye posho na mishahara ya viongozi wetu ili walau kuchochea upatikanaji wa huduma muhimu ikiwemo Elimu, Maji na Afya katika jamii.
  9. kobokocastory

    Tangazo la Haki Elimu linadhalilisha kada ya Ualimu

    Nikiwa mwaka wa pili chuo kuna lecturer alitufundisha infact she was a PhD holder lakini lugha ya malkia ilkuwa inamtesa sana kiasi kwa alitumia lugha ya kiswahili kufundisha.
  10. kobokocastory

    Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi (NEC), kwa hali ilivyo bado wewe na wakurugenzi wenzako mnaamini mnapaswa kuendelea kuwepo ofisini?

    Neno kuwajibika huwa ni gumu sana kwa Watanzania and the fact is vyeo huwa ni vitamu sana. Mtu anawaza ajiuzuli kweli aache per di~em's, posho za vikao na usafiri and the likes? Mwisho wa siku mtu anaamua tu kama mbwai na iwe mbwai anaamua kubaki zake ofisini tu kikauzu.
  11. kobokocastory

    Jaji Warioba: Miaka yote watu wanaelewa kujaza fomu, lakini 2020 ghafla hawajui. Siasa inataka kuingia kwenye Dini

    Mzee Warioba anazidi kuzeeka na hekima zake. Angalau huwa navutiwa kumsikiliza coz he's always straight to the point.
  12. kobokocastory

    Siridhishwi na jinsi Serikali inavyoshughulika na sakata la uchafuzi na sumu katika maji ya Mto Mara

    Nadhani turudi katika ile report ya mto tighite tuanzie hapo sababu inawezekana ikawa factor mojawapo ya kuchafua maji ya mto mara.
  13. kobokocastory

    Songea boys, shule kongwe iliyosahaulika

    Mara sec 2005 chini ya master Nyang'ahondi na second wake Morega Mongate aloooo
  14. kobokocastory

    SoC01 Vijana tukifanya hivi, tutafika mbali

    Umenena vyema sana mkuu nadhani tukichukua points kadhaa hapa tukaondoka nazo tutarudi na mrejesho mzuri baadae.
Back
Top Bottom