Njia Sahihi ya kumpima Bashe ni Exports and Imports katika mazao ya kilimo

ego

JF-Expert Member
Apr 10, 2013
1,620
1,407
Nchi hii imekuwa na shida sana tunasifia watu kwa jinsi wanavyofanya ziara au kuongea majukwaani, hizi siyo njia sahihi. Tunatakiwa kuwapima kwa matunda.

sasa nasikia kila kona watu wanamsifia Bashe ni bora tuweke vigezo sahihi vya kumtazama na hivyo vigezo ni kupima ameleta mabadiriko gani katika exports za mazao yetu kupeleka nje au amepunguza kwa njia gani imports za mazao kutoka nje.

Tupate takwimu za alipoingia exports za mazao yetu zilikuwaje na kila mwaka tupime, tuangalie korosho, pamba, kahawa n.k tumeongeza vipi exports.

Tutazame mazao ya chakula kama mahindi, mchele, maharage, choroko, pilipili n.k tumeongeza vipi na kama tumepunguza takwimu ziseme.

Tutazame imports kama mafuta ya kula, ngano, n.k je ameweza kupunguza.

Tusipende kumsifu mtu kwa hotuba bali tutazame matunda kama yapo na wale wanaotaka kutushawishi watuletee takwimu.

Tunaweza pia kutazama jinsi atakavyobadilisha kilimo labda kiwe cha kisasa, kama uingizaji wa mashine za ku process mazao ya chakula kama zitaongezeka nako
 
Nchi hii imekuwa na shida sana tunasifia watu kwa jinsi wanavyofanya ziara au kuongea majukwaani, hizi siyo njia sahihi. Tunatakiwa kuwapima kwa matunda.

sasa nasikia kila kona watu wanamsifia Bashe ni bora tuweke vigezo sahihi vya kumtazama na hivyo vigezo ni kupima ameleta mabadiriko gani katika exports za mazao yetu kupeleka nje au amepunguza kwa njia gani imports za mazao kutoka nje.

Tupate takwimu za alipoingia exports za mazao yetu zilikuwaje na kila mwaka tupime, tuangalie korosho, pamba, kahawa n.k tumeongeza vipi exports.

Tutazame mazao ya chakula kama mahindi, mchele, maharage, choroko, pilipili n.k tumeongeza vipi na kama tumepunguza takwimu ziseme.

Tutazame imports kama mafuta ya kula, ngano, n.k je ameweza kupunguza.

Tusipende kumsifu mtu kwa hotuba bali tutazame matunda kama yapo na wale wanaotaka kutushawishi watuletee takwimu.

Tunaweza pia kutazama jinsi atakavyobadilisha kilimo labda kiwe cha kisasa, kama uingizaji wa mashine za ku process mazao ya chakula kama zitaongezeka nako
Issue ya kuimport mafuta ya kula,ngano n.k haisuluhishwi na wizara ya kilimo pekee. Mfano issue ya mafuta ya kula tunazalisha ufuta mikoa ya kusini,chikichi mikoa ya magharibi na alizeti mikoa ya Kanda ya kati. Kama nchi tumekosa viwanda vikubwa vya kuzalisha mafuta ya kula kwa malighafi iliyopo nchini ni wizara ya biashara na viwanda, na wizara ya uwekezaji wamekosa sera thabiti za kuvutia wenye mitaji kuwekeza ktk uzalishaji wa mafuta ya kula
 
Hii issue ni ngume ku~appreciate moja kwa moja manaake kwa mfano msimu huu wa kilimo wakulima wanateseka sana mbolea bei haishikiki lakini serikali iko kimya.

Nilidhani serikali walau ingeingilia kati na kutoa tamko kama sio kutoa ruzuku walau wakulima wapate nafuu. Soko la mazao kama mahindi ni ya kukatisha tamaa kwa wakulima etc, etc .
 
Nchi hii imekuwa na shida sana tunasifia watu kwa jinsi wanavyofanya ziara au kuongea majukwaani, hizi siyo njia sahihi. Tunatakiwa kuwapima kwa matunda.

sasa nasikia kila kona watu wanamsifia Bashe ni bora tuweke vigezo sahihi vya kumtazama na hivyo vigezo ni kupima ameleta mabadiriko gani katika exports za mazao yetu kupeleka nje au amepunguza kwa njia gani imports za mazao kutoka nje.

Tupate takwimu za alipoingia exports za mazao yetu zilikuwaje na kila mwaka tupime, tuangalie korosho, pamba, kahawa n.k tumeongeza vipi exports.

Tutazame mazao ya chakula kama mahindi, mchele, maharage, choroko, pilipili n.k tumeongeza vipi na kama tumepunguza takwimu ziseme.

Tutazame imports kama mafuta ya kula, ngano, n.k je ameweza kupunguza.

Tusipende kumsifu mtu kwa hotuba bali tutazame matunda kama yapo na wale wanaotaka kutushawishi watuletee takwimu.

Tunaweza pia kutazama jinsi atakavyobadilisha kilimo labda kiwe cha kisasa, kama uingizaji wa mashine za ku process mazao ya chakula kama zitaongezeka nako
Bashe is the best minister ever Kudos ndugu Bashe
 
Back
Top Bottom