Nampongeza jpm sana na mleta mada inawezakana ni mmoja wa jipu la kutumbuliwa. Tuumpe mda magufuri aweke misingi, mfano kama China hawabebelezi mfanyakazi Na Leo wako mbali sana wakati tulikuwanao sawa miaka ya sabuni mwanzoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.