Nishaa mpa uhuru nikamwambia sema chochote kama hutaki tuendelee na mahusiano jus feel free but she remain silence...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaya zaid kuna time ananiaminisha kama still ananipenda coz kuna siku kanitumia pic ya dem flan kaanza kuwaka oooh huyu ndo unatoka nae maneno kibao nawakati huo hata dem mwenyew simjui ikafika time nikampa uhuru aseme anacho kiwaza ntaheshim mawazo yake na hisia zake lakini hasemi kitu ...
Natumaini mko poa wadau my story is nimekua kwenye uhusiano nae zaidi ya mwaka sasa , kipindi chote hicho tumekua tukifurahia mahusiano yetu full of promises kiukweli sikuwahi kufurahia mahusiano kama nilivyo furahia kwa huyu, kulitokea misunderstanding ambayo mimi ndio sababu though I never...
Humu naona watu wana base kutafutwa na gays tu kutaka dushe vp wale wanao tongoza wanaume wenzao especially married man yan yuko serious anakufwata inbox anakuomba umpe @ss hii kitu mbaya sana mpk unajihis inferior lakn hapa wapo watu wanaongea as if watakatifu vile kumbee ndo hao wanao haribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.