Ukiachana na Samsung, LG, Sony, TCL na Hisense, brand ipi ina ubora angalau naweza kuitumia sehemu ya biashara nikiiwasha kuanzia asubuhi mpaka usiku bila shida yoyote?
Habari wakuu, nilituma maombi kwenye zile kazi za MDA & LGAs lakini Shortlist ya Interviews imetoka jina langu sijaliona.
Mara zote nimekuwa nikiomba na mara zote nimekuwa nikiitwa lakini kwa mara ya kwanza sijaitwa na sielewi tatizo ni nini.
Nikiingia kwenye Account tangu status ni RECEIVED...
Nafikiri kama hauna taarifa sahihi za taaluma hii sio sawa kutoa majibu ya kiujumla.
Muhusika kama utapata nafasi ya kusoma Public Relations and Marketing ni nzuri sana kwani utaweza kufanya kazi katika Sales, Marketing, Customer Services, na Public Relations au Information Officer.
Kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.