Recent content by kndossi

  1. K

    Wanafunzi wa UDOM kufukuzwa: Chanzo cha mgogoro na Serikali inavyohusika

    Haya ya kukurupuka yanapatikana hapa Tz tu.
  2. K

    Fununu: Lema kuirithi mikoba ya Mbowe!

    Offcourse ni jambo jema kama utabiri wako uko sahihi.
  3. K

    Fununu: Lema kuirithi mikoba ya Mbowe!

    Yote heri tu, kwan hamtaki Mh. Lema awe mwenyekiti? Kwani hana sifa zote?
  4. K

    Hongereni chadema kwa kuifikisha ccm hapa!

    Mkuu naunga hoja kwa mikonomyote, angalia leo makamanda Changonya alivyonywea na makeke yake ya kwamba kuficha ushahidi ni kosa la jina. Je akina Mwiguli Nchemba ALISEMA ATATOA USHAHIDI HATA KAMA NI MBINGUNI MBONA HALIKUWA KOSA LA JINAI?
  5. K

    Rai tume ya uchaguzi itangaze mapema kuhairisha uchaguzi wa udiwani katika kata zote za arusha mjini

    Hakuna kuahirisha uchaguzi wa madiwani arusha???????????????????? Ulikuwa mpango mzima wa wapinzani nzetu akina Nepi na Mguu Chemba. Poleni sana wafiwa, katika kipindI ihiki kigumu, lakini damu ya walio uwawa iko juu yenu nyie mlio panga mauaji hayo. Via chadema viva!!!!!!!!!!!!!!!
  6. K

    Mbowe na Lwakatare kulitikisa jiji la Arusha Jumamosi

    Nategemea na naomba Mungu chichiemu ikafunge kampeni za udiwani Arusha cku hiyohiyo ya jumamosi tuone nyoMi itakuwa kwa Dj wetu Mh. Mbowe au kwa majamba! Arusha udiwani wasahau kama walivyosahau ubunge.
  7. K

    James Ole Milya CHADEMA ni mtetezi wa wanyonge au Mnyang'anyi wa wanyonge?

    Kumbe mgeni jamvini. Nadhani katumwa na akina NAPE,SENDEKA NA MZEE WA MAMVII lakini 2015 ubunge ni wake. Ukiletewa kazi usiipige kwa sababu wewe ni chadema? MILLYA piga kazi kutokana na taaluma yako na siyo kuogopa magamba.
  8. K

    Lissu atia fora bungeni

    Jamani Lissu ni jembe hawezi kulinganishwa na gamba hata moja. ingekuwa mimi singegoahiyo kinasa sauti?
  9. K

    Picha: Mwigulu Nchemba atikisa mkutano wa uchaguzi (udiwani) kata ya Kimandolu jijini Arusha

    Teeeh teeeh teeh pamoja na chichiem kuletwa kwa malori hapo kimandolu na mzee wa kujiuzulu ubunge kama video ya lwakatare ni feki lakini cc wamasai na waarusha hatuongozwi na wanawake" edina aende beijing akawaambie masai na larusai haiongozwi na wanawake? Beijing oyeeeeee
  10. K

    VIDEO: Mwigulu aonya, Arusha wakiikataa CCM watakufa

    Mbona Mwigulu ni gamba ambalo kwetu hapa Arsha hatudanganyiki? bali tyuko tayari kwa kunyofolewa kucha kwa pispisi. OOOOhhh CCM KWISHINEY
  11. K

    CCM yapongeza Jeshi la Polisi kwa kumkamata Lema

    CCM ni janga la kitaifa, tunasubiri jumatatu tuangalie mh. Godbles Lema atafunguliwa kesi ya uhaini? Kama Lwakatare.
  12. K

    BUNGENI: Peter Serukamba(CCM) atukana tusi kali, "F*** you"

    Tunasubiria kipindi cha jioni tumwone Ndugai atachukua hatua gani.:playball:
  13. K

    BUNGENI: Peter Serukamba(CCM) atukana tusi kali, "F*** you"

    Mimi binafsi nilishikwa na bumbuwazi na mpaka sasa siamini, Je ingekuwa mbunge wa chama pinzani ingekuwaje? AU ingekuwa akina Dogo janja tungesema aliamkia bangi ya Kisimiri au lakini kwa sababu ni Gamba tuseme ameridhi kuropoka ovyo kutoka kwa NAPE?
  14. K

    Tuhuma zangu kwa Lema

    hata cku hizi UDS wanasoma vilaza kama wewe hata hujui ni wakati gani wa kuwakilisha hoja na kwa mbinu gani. Wewe unatumika ndugu yangu Chadema hakichafuki kwa njia hii, kwani ni ya wajanja watupu.
  15. K

    Lema kufufua mgogoro wa Meya Arusha

    Kamanda Lema, anajua wazi magamba hawawezi kufanya kitu, zaidi ya hila kama hizo za kuwahonga na kuwarubuni madiwani waliotimuliwa hapo Arusha mjini na wale wa Mwanza. Kamanda tunasubiri makeke yako huko mjengoni, Kwani waziri mkuu hapati usingizi na hata kusikia umerudi mjengoni.:bange:
Back
Top Bottom