Kwanza hongera rafiki yangu kwa kuamua kufunguka..
Suala hili hutuchanganya vijana wengi..inapofikia wakati wa kuchukua maamuzi magumu..haswa inapokuja suala la kupata mtu wa kuishi nae.
Mimi kwa ushauri wangu. Huyo mwanamke hakufai nasema wazi hakufai..kama ulikwisha muahidi vitu vingi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.