TUME YA KATIBA: Unafikiri mtu anaweza kuorodheza matatitizo yote ya nchi hii kwa wakati mmoja? alicho eleza Pengo ni kile alicho kiandaa katika hotuba yake, tunajua yapo mengi, wewe pia unanafasi yako unapaswa uelezee matatizo unayo yaona na sio kuanza kukosoa kilicho semwa na mwenzako. Binadamu...
Kambaya kaongea polojo nyingi lakini hajaonesha Tanzania Daima wamefanya nini, zaidi yeye ndiye anaye endeleza udini kwa kuwafanya waislamu waonekane kama wanaonewa.
Katika kampeni za uchaguzi 2010 kuna mchungaji alithubutu kusema JAKAYA MRISHO KIKWETE ni chaguo la mungu mbona hatukusema ni...
Taifa letu halitaendelea kama tutakuwa tunafikiria kuwa dini furani ni bora kuliko nyingine. Imani zetu za kidini tuziweke kando linapokuja swala la utaifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.