Recent content by klaymoo

  1. klaymoo

    Tujikumbushe jitihada za Dkt. Kihamia kuinua elimu Arusha

    wewe ni muhanga wa political manipulation. unahitaji therapy
  2. klaymoo

    Matunda ya kukatwa kwa posho holela za Madiwani wa Chadema Arusha

    Posho za kifisadi za madiwani wa Chadema Jiji la Arusha zilizokatwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji hilo ambaye sasa ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) zimezaa matunda baada ya jiji hilo kuwa la kwanza kitaifa kwa ufaulu Darasa la Saba. Ikumbukwe kwamba ukataji wa posho hizo...
  3. klaymoo

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Unaweza kusema hivyo kwa kuwa hadi leo hakuna anayefahamu sababu za mkurugenzi mkuu wa tume hiyo ya uchaguzi Dkt Athumani Kihamia kupewa cheo hicho akitokea Jiji la Arusha ambako alifanya vurugu nyingi sana na kupelekea kuundwa tume ya kumchunguza na alikuwa anafanya kazi za siasa zaidi kuliko...
  4. klaymoo

    Uchaguzi Liwale: Mgombea kupitia CCM, Zuberi Kuchauka ashinda kwa 85%

    Wapo waliokuwa wanadhani Uchaguzi utakosa mvuto. Hahaaaa, Liwale kumenoga.
  5. klaymoo

    Nukuu 10 tata za Dkt. Athumani Kihamia, Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)

    Alipokuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Kihamia aliyatamka haya; 1. Arusha sio Jiji bora kama inavyotangazwa kwa kuwa vikao vyake vya kamati na baraza la madiwani vimejaa vurugu na uchangiaji wa wananchi katika miradi kupitia kata na mitaa ni mdogo sana, hayo yakirekebishwa linaweza...
  6. klaymoo

    Usiyoyajua kuhusu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), Dkt. Athumani Kihamia alivyovuruga Halmashauri

    1. Alipokuwa Kaliua kama Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri aliundiwa Tume na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora baada ya kuvunja mikataba ya ujenzi wa majengo ya ofisi za Halmashauri, nyumba za watumishi, Hospitali ya Wilaya na mabanda ya maonesho ya nanenane chini ya mkandarasi SARAM Contractors...
Back
Top Bottom