Sasa unataka usijitokeze halafu unayempenda ashinde na asiposhinda unasema Uchaguzi sio huru. Labda iwe abracadabraTatizo sio kujitokeza tu,je utakuwa huru na wa haki?
Ni huru ofcoz, unaona wameshikiwa fimbo hao, au unadhani hao wamekuja mpigia kura mbunge wa chama chenye wabunge malaya wanaonunuliwaTatizo sio kujitokeza tu,je utakuwa huru na wa haki?
Hawa mbona wanafanya uchaguzi jmosi akat wengine ni j2
Ni huru ofcoz, unaona wameshikiwa fimbo hao, au unadhani hao wamekuja mpigia kura mbunge wa chama chenye wabunge malaya wanaonunuliwa
Hahaa hivi kuna waliosusaeee, mbona wapiga kura wapo wa kutosha tu? au waliosusa hawana watu?Ha ha ha unatapatapa hiyo ndiyo Liwale ninayoijua hawapendi ujinga mkisusa wanakula mkishtuka wameshashiba. Big up Liwale Big up NEC kwa maandalizi mazuri.
Mdau umenena. Kwa kuwa siku ya Uchaguzi siyo msahafu inaweza kubadilika kutokana na matukio. Kwa busara ya Tume yetu ya Uchaguzi wana Liwale sasa kesho watapata fursa ya kufanya maadhimisho ya kumbukumbu ya Hayati Baba wa Taifa. Big up NEC!Kama sijakosea kesho ni siku ya kumbukumbu kwa Taifa letu ya Baba wa Taifa hivyo I think NEC imetoa fursa hiyo kwa watanzania hasa wa Liwale kuadhimisha na uchaguzi ufanyike leo hii ni Busara pia.
Watu hawafiki 15 sio mchezo, ila kwa hali ya sasa kwa ccm hao ni mafuriko.
Na hata kwa huyo watano toka nyuma anasikiliza simu!Safi Kwa maendeleo ya nchi