hakika watu wanachanganya mafile,hivi mtu anatokana na nn?,au ndiyo presha mbona bado dawa inakuja soon!!!,memory zinaanza kusoma ndivyo sivyo? sawa mkuu
Mimi nakushauri uelekee jkt,kwani inajulikana kuwa mifumo ya nchi kila uchwao inabadilika.Hivyo yaweza kukusumbua mbeleni,jambo lamsingi ufungue moyo!!!!!.
Njia ya mwongo ni fupi,ipo cku watajua kuwa dunia ya leo uongo ni adui asiyevumilika.wengi wao wanajitia upofu ilihali wanayo macho!!!! Inasikitisha kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.