Kati ya movie ambayo niliikubali ni hii, isipokuwa tu mambo ya ushoga nowdays karibia kila movie lazima yawepo daaaah, wakubwa wanatumia nguvu kubwa Sana kutushawishi
Simu zao zinachukua MDA kupokea ni kupiga mara Kwa mara na kuwa mvumilivu, Mimi niliwapigia ilichukua kama DK 5 Ila walipokea, kuna jamaa nae aliwapigia ilichelewa lakin walipokea, chamsingi ni kuwa mpole tu, alafu tumia zile namba za kiofisi walioweka pale Ile unaanza+26 Yan sio ya mitandao hii...
Nataka kuagiza hzi pikipiki za umeme zinazotamba kwa sasa, kibongo bongo naskia zinatembea kwny 1.5m ila nimejaribu kuangalia huko China zinapotokea naona zinarange kwenye 260$ kupanda juu hadi 1000$ ambapo mimi nataka kucuhkua tu hapo 260$-350$ sasa wasiwasi wangu ni kuhusu hizo kampuni zenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.