Nyie mmerongwa na nani? Baba yenu magufuli alisema mabadiliko yataiingiza nchi kwenye machafuko, na akatoa mfano wa Libya walitaka mabaliko hadi leo hii hawana amani... Mmesahau mara hii au mnanyweshwa viroba kwanza lumumba ndo mnaingia hewani? Acheni kuiga kila kitu mnajishusha sana na...
Ni mvivu wa kufikiri, kwani kwa mazingira ya ajali na mwonekano wake utakua mtu wa ajabu sana kuhoji kwanini mtu kafa... Ni Mungu amehamua kumwadhibu kwa kauli zake, Ogopa sana kumfanyia mtu ubaya asikulipe akushtakie kwa MUNGU...
Zitto angeelekeza nguvu kutetea ubunge wake kwani mbele ya kaburu na nguvu ya ukawa cjui atatokea wapi.. Kisiasa amepotea hata kujifanya kumtetea slaa kimsingi ni kupoteza mda! Ngoma ulivuma sana imepasuka hata ikishonwa hatarudi kwenye ubora wake wa zamani..
Hata shetani alikua ni Malaika kabla hajaasi...! Sasa huwezi kuendelea kumsifu shetani kwa kofia ya malaika, Unaweza ukajijengea heshma kwa miaka mingi na ukaibomoa ndani ya nusu saa...! Ndicho kilimpata Dr Slaa, ajilaumu mwenyewe kwa kuelemewa na mapenzi kuliko chama chake alichokipigania kwa...
Kuwepo JF siku nyingi sioni kama ni hoja ya kuwaona waliongia karibuni wajinga...! CCM kwanini mmechanganyikiwa kiasi hicho? Badala mjibu hoja mnakimbilia matusi mnawafanya watu waamini mmechoka..!
We huna habari kuna majina yapo dini zote mbili? mfano ni Rehema na Sofia, hapo umemtaja Sofia kwa upande wa kiislam, sasa sofia wa kikikrisho umweka upande gani? Hizo tafiti zenu cjui mnafanyia dunia gani kisha mnakurupuka mnakimbiza kwenye mitandao...! Akili ya kitoto sana jina halina uhusiano...
Ushauri ni wa busara huyo mama aufanyie kazi..! kama ndo tabia za huyo bwana huenda huyo mkewe marehem alikufa na siri nzito sana moyoni kwani hiyo tabia cyo ya ghafla
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.