Watu waliendelea kuambukizwa na kufa kwa ugonjwa huo ambao pengine wasingepata na kufa.Mbinu alizotumia zilikuwa za hovyo sana kukubali watu wake wafe hadi kinga itaporejea.Ni jambo jema sana naye ilimuondoa ili aungane na wahanga wengine wa uamuzi wake wa ovyo
Hata Mandela alisimulia madhila aliyopata kule Robben Island gerezani.Ni sehemu ya mapambano.Ni ishara ya mhanga aliyekuwa mstari wa mbele katika kupambana na dikteta.maelezo yake yanahamasisha tusiwe waoga tuwe tayari kumkabili dikteta
Tunaopenda haki hatukereki asilani.Watu wapige kelele bila kuchoka dhidi ya uovu ili kuzuia wote wenye matamanio ya kuua,kutesa,kunyanyasa Watanzania kwa kutumia siasa wafute mawazo hayo.Never Again
Huyo muuaji,mkabila na mwizi haramia unasemaje?.Mmejazana kwenye social media zote kuficha ushenzi anaofanya DRC kupitia M23 na utesaji wa raia wake haswa wahutu.Mara sijui makanisa,mara hotuba za kujisifu nk ushenzi tu
Magereza sio sehemu ya concentration camps.Ni sehemu ya kurekebisha tabia za wafungwa na sio kuzalisha mali.Ndo maana Zanzibar wanaita vyuo vya mafunzo.sio sahihi kugeuza wafungwa kuwa watumwa kuzalisha mali.Adhabu ni kunyimwa uhuru tu inatosha sio kufanyishwa kazi kama punda eti wajilishe.Siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.