Wakuu - Emirates inasafiri kutoka Houston, Texas kwenda Dubai, UAE kila siku, nonstop .... distance ni zaidi ya Nairobi - New York ... umbali wa Houston - Dubai ni 13,140 km. Emirates wanatumia Boeing 777-200LR (LR stands for Long Range).
Iko hivi, mwandishi kaeleza kwamba hilo kaburi liko mstari wa mwisho kabisa; ndiyo maana hakuna makaburi mengine yanayoonekana beyond makaburi yalio mstari wa Ballali.
Unaweza kusema, sasa ni kwa nini asipige picha kutoka upande ule mwingine, ili makaburi mengine yaonekane .... jibu ni kwamba...
Wakuu:
Utafutaji wa hizi resources (madini, mafuta na gesi) unahitaji uwezo wa kipesa, pamoja na uwezo wa kitaalamu (financial and technical ability).
Nilivyomuelewa Profesa Muhongo ni kwamba:
1). Serikali imetoa vitalu vingi vya madini kwa wazawa, lakini imegundua kwamba wazawa wengi hawana...
Dah! Wewe Le Mutuz vipi tena mkuu ...... ina maana wewe huwezi kuongozwa na unayemzidi elimu? Hata Marekani, Obama anaongoza wengi tu waliomzidi elimu, including maprofesa wa Havard, Stanford, Yale etc; btw unamkumbuka wazri mkuu wa zamani wa Britain akiitwa John Major ..... ni high school drop-out!
Nape:
Sasa hapa ndipo serikali ya CCM inatakiwa kuonyesha uongozi; waasisi wa Muungano, Nyerere na Karume waliunganisha nchi mbili kwa nia njema kabisa, tatizo ni kwamba muungano ulizaa serikali mbili, na hivyo kuufanya kuwa dhaifu ... sasa mnatakiwa kutupeleka hatua ya mwisho .... serikali...
Wakuu:
Hakuna sababu ya kuiga toka kwa nchi yoyote. Waasisi wa muungano (Nyerere na Karume), walikua na nia njema, wakatuletea muungano wa nchi mbili, lakini muundo wake (wa serikali za Muungano na Zanzibar) unaonekana kuwa na kero za wazi. Sasa ni wakati muafaka kwa Jakaya Kikwete kuonyesha...
Mkuu Bukyanagandi; nakubalina nawe mia kwa mia ..... nadhani JK atakua bado anatafakari nani awapeleke China na USA; maana hizo sehemu mbili zinahitaji watu makini sana.
Ndiyo faida ya kuendekeza "ukoloni" na "ubwana/utwana" ... hizi dini zililetwa na "wakoloni" na "mabwana" enzi zile ili kutupumbuza na kututawala .... kwa bahati mbaya bado tuko kwenye usingizi mzito ... imagine kusingekua na hizi dini za kuletwa; si tungeishi kwa amani!
Ndugu yangu Chris Mnyalukolo:
Mimi pia ni mwanaCCM, lakini kwa hili naweka chama changu pembeni .... maandamano ni kushinikiza mawaziri wenye dhamana na Elimu wajiondoe ktk majukumu yao; kwa sababu wameshindwa kazi ... matokeo ya tume yatatekelezwa na waziri mwingine atakayekuja; waziri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.