Recent content by kivyetu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Madaktari bingwa wa Kenya walisema Tundu Lissu sio mtu wa kawaida

    Mnawezaje kumtafakari TAL mana mm Kila nikijaribu kumtafakari kdg tuu basi utumbo unatetemeka,mwili unajawa hofu kuu,napata feeling tofauti kabsa na watu wa Dunia hii,mawazo yanakuja km vile nataka kumdadisi mtu asiyechunguzika.bado sielewi kwann hali hii.nitatafuta wataalam wanieleze Nini maana...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Madaktari bingwa wa Kenya walisema Tundu Lissu sio mtu wa kawaida

    Funzo zuri
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kati ya NIT na MUST niende wapi?

    Pole sana,kozi nzuri pia umechagua hongera .wazaz wako watafurahi soon waombee maisha marefu tuu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kati ya NIT na MUST niende wapi?

    Nmeangalia competition tuu Huku nje kwenye soko la ajira,Kwa baadhi waliosoma nit ninaowafaham wapo very shallow Yan,kiasi Cha wao wenyewe kujisemea n heri wangesoma tuu must.tofaut na tuliopita ATC / wale wa mbeya. Hatuna deni na vyuo vyetu
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kati ya NIT na MUST niende wapi?

    Chuo Bora Cha nyakati zote ni ATC,ila Kwakua chaguo lako n mechanical na ATC wamekupa fani usiyoipenda,hayo ni maisha yako,fanya ukipendacho ata km kipo kwenye moto. nenda MUST,NIT sikushauri Kwa mechanical engineering.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Leo nitawapa ishara moja kati ya ishara kadhaa ambazo utaziona pindi unapokaribia kufa

    Mtoa mada nmesoma Kwa makin nkizan nitapata kitu lkn Kwa ndoto mnh sidhan, Nilifiwa na mama yangu ghafla.kabla ya kifo chake like 2 days katika story nlimuona akiniangalia Kwa huruma sana,nlipomuuliza alisema nakuonea huruma mwanangu,nikifa Hawa wadogo zako watakusumbua sana.cku nyingine...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Leo nitawapa ishara moja kati ya ishara kadhaa ambazo utaziona pindi unapokaribia kufa

    mnh bado sijaona ninachotaka,labda no.2 ila kwambaaali yakuforce sn .
  8. K

    JamiiForums Tanzania KERO Hizi kambi za Wanafunzi wa madarasa ya Mitihani zimekuwa kero kwa Wazazi na Walezi

    Chagua chauma wanafunzi wapate ubwabwa shule,
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kipi kinakutoaga kwenye mood? Karibu tushirishane

    Mm ndo sijatoka ata ndan Yan nakosa mood kabsa na michongo ukute Ina bounse tuu Yan sitakagi ata kuonana na watu
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kipi kinakutoaga kwenye mood? Karibu tushirishane

    Nikikosa Hela napoteza ad confidence Yan dah
  11. K

    JamiiForums Tanzania Ni jambo la fedheha uwe na gari au pikipiki lakini mtoto anafika miaka 14 hajui kuendesha

    SoMo zuri hasa watt wakiume tuwafundishe haya mapema,wangu anamiaka 7 kadhajua gari vzr badokukanyaga mafuta na breki mana miguu haifiki,lkn anafaham wapi mafuta wapi break,kunyoosha na mengine Hana tatizo.nlianza mfundisha mapema sana,sahv Huwa anajisemea nikiwa mrefu miguu ikifika kwenye...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Utafanyaje mtu akikuhisi wewe ni jinsia tofauti na ulivyo?

    Ah tushachelewa ni wastage ya time tuu.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na rais wa TLS, Mwabukusi - Ikulu ya Chamwino Dodoma

    Mama Leo kapendeza,gauni zuri kongole kwake,
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mtazamo: Wasingeweza kumuachia Tundu Lissu bila Mama kuonekana kakutana na watu fulani waliomuomba amuchie Lissu

    Haijalishi mazingira Gani,gerezani siyo gest wamuachie tuu lisu .akitoka nashauri akapimzike tuu na familia yake cc atuache ,hatubebeki
Back
Top Bottom