Recent content by Kivuyoo

  1. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa na anayefahamu taratibu za kupata mafao ya kuachishwa kazi NSSF

    Naomba kufahamishwa na anefahamu taratibu za kupata mafao ya kuachishwa kazi NSSF Nina mwaka mmoja Nimeachishwa kazi, Mwezi wa tano mwaka huu nilifuatilia mafao yangua nssf na baada ya mwezi mmoja Walinilipa nusu ya ela yangu. Sasa ni miezi miwili imepita bila kupewa chochote, nimejaribu...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Polepole: Kuna mtu alikuja kuniambia kuwa kiongozi wa awamu ya 5 atakufa

    Kwani wewe una impact gani? Ukipuuza wewe wako maelfu wanaomfuata
  3. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia kuitetemesha Dunia Kesho

    Watu wengine mnapenda kutukanwa..
  4. K

    JamiiForums Tanzania Niko njiapanda ya kuchagua dini sahihi

    Maswali ya dini unataka uyapatie majibu wapi? Kwenye science? Dini ndio imani ya mtu na imani ni vitu ambavyo havifikiriki kwa akili za kawaida
  5. K

    JamiiForums Tanzania Niko njiapanda ya kuchagua dini sahihi

    Hautakaa upate dini sahihi na zote hazina majibu ya maswali mengi, Zaidi sana utachanganyikiwa
  6. K

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hakuna analyst hapa uko biased kwa side ya Ukraine
  7. K

    JamiiForums Tanzania Rwanda ilifungia makanisa 8000 na nchi iko salama. Kanisa la Gwajima ni sahihi kufungiwa

    Kwahiyo unafanisha uwajibikaji wa Kagame kwa rwanda yake na hizi takataka za ccm
  8. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nina hamu kubwa kuona Samia atakavyozunguka peke yake kufanya Kampeini

    Dah! Magufuli na Lowasa was too hot
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kanisa limepiga marufuku wanasiasa kusalimia kanisani, wamekosea sana

    Hivyo vyote ulivyotaja hapo ni hisani au ni haki ya hizo taasisi? Pia kumbuka hizo huduma zote haukuna ya bure Hakuna haki yeyote wala ulazima wa wanasiasa kusimama kanisani kusema chochote, kama wana la kusema waite press
  10. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Tunalaani kauli za kichochezi zilizotolewa wakati wa uzinduzi wa Kanisa la Arise and shine la Mwamposa

    Mujibu wa quran? Hiyo hotuba peleka Iran... this is not a religious country
  11. K

    JamiiForums Tanzania B-2 Spirit: Ndege Inayoweza Kuiangamiza Nchi ya Iran Kwa Siku Moja

    Waipeleke Ukrain tujue kama haionekani
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kanisa limepiga marufuku wanasiasa kusalimia kanisani, wamekosea sana

    Hapo ni katoliki unaongelea. Taasisi ya kidini yenye uchumi mzuri kuliko zote nchini
Back
Top Bottom