Habari wana jamii forum, ninayo pc ya hp nyeusi, changamoto yake leo nimejaribu kuweka window 10 2019 imegoma kabisa na sitaki kufuta data zangu zilizopo kwenye pc. Naomba mnisaidie.
Wadau kuna kichwa cha habari nimeona leo kwenye gazeti la Nipashe kuhusu neema kwa wakopaji na waliokopa kupunguziwa, naombeni mnieleweshe kwa wale wataalam wa mambo ya mikopo.
This is jf na hapa ni sehemu ya mapenzi na mahusiano wewe kama uhitaji hizi stori usiingie humu nenda direct kwenye kipengele cha ujasiriamali. Okeeeey.
HATUA TANO ZA PENZI
(Ingawa wengi huishia hatua ya tatu)
“Inawezekana hakuwa wakwangu”, “Yamkini Mungu hakupanga tuwe pamoja”, “Labda Mungu ameniepushia mengi”. Mara kwa mara wengi tumesikia sentensi zinazofanana na hizi hususani kwenye vinywa vya watu, marafiki au ndugu zetu ambao wamewahi...
Wataalam wa uchumi naomba msaada coz nilinunua mahindi mwaka hadi muda huu bado hayapanda, tena imeshuka, vp prediction ya baadae yanaweza kupanda kidogo kweli??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.