Hayo ni magnificent maoni binafsi ila kama ccm itaachaa uchaguzi uwe wa uhuru na haki hakika hawataambulia hata ujumbe wa nyumba kumi ,nukuu ya mwenezi mstafu polepole inasema hivyo pia jibaijuka anasema hivyo wote hao walikuwa kwenye mfomo wa serikal ya ccm hivyo sion ajabu kwa wew kuongea...
Wabadishe maandiko alafu wayapeleke wapi kama umeamua kuwa mzinzi we endelea na uzinzi wako waachee na kitabu Chao kisichokuwa na ubabaishaji kitambo kilicho nyooka
Hebu rejea kauli ya mchungaji kimaro alisema wakristo wengi ni majizii sana na wenye taamaa na mafanikio ya haraka Mimi Kama mkristo namuunga mkono bakhresa kwa 100% wakristo tumezidi ujanja ujanja na uroho wa mali
Bandugu kama kichwa Cha juu kinavyojieleza nilitaka kufahamu mikopo ya halmashauri kwa ajiri ya vijana kujikwamua katika wimbi la ajira na umasikini.
Vipi ni nani aliewahi pata mkopo na taratibu zikoje
Wasalam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.