Recent content by kiviliganga jr

  1. K

    PreGE2025 Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa

    Mathayo Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
  2. K

    Mashabiki wa Simba bado mnaamini Yanga inatumia bahasha kupata matokeo?

    Akili zao ndo hizi,sasa hivi wameamia kwenye jezi yaani vichwa vyenu ni kama vizibo vya kufunikia shingo tu
  3. K

    Ukraine kupewa vifaa vinavyozuia mabomu yanayotupwa uraiani na Urusi

    Ni vita gani ambayo raia hawakufa,Libya,Iraq au Afghanistan?
  4. K

    Michuano ya CAF haina tija, we umeona wapi timu inaomba mechi zao zote zichezwe Tanzania?

    Iyo super cup unayoisema wameikataa Europe wanatuletea sisi alafu jinsi tulivyo mazwazwa tunaikimbilia
  5. K

    Pasco unaijua nguvu ya Twitter?

    Tweeter kama tweeter
Back
Top Bottom