Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,903
- 3,919
Nipo hapa kuwauliza mashabiki wa Simba na viongozi wao, je, bado mna imani Yanga haishindi kwa uwezo?
Bado mnaamini Yanga inatumia bahasha na Tigo Pesa kupata matokeo? Mashabiki wa Simba ni miongoni mwa mashabiki wajinga kuwahi kutokea Dunian, yaani wanaamini zaidi propaganda kuliko uhalisia wenyewe.
Viongozi wao wanawalisha propaganda kuwa wana timu bora kumbe uongo mtupu.
Ikitokea wamepelekewa moto na timu za ligi kuu halafu hiyo timu ikaja kupigiwa soka la kiwango cha SGR na Yanga, utasikia wanavobwabwaja kuwa hiyo timu imecheza chini ya kiwango tofauti na ilivocheza na wao!
Yaani hawaamini kama Yanga kwasasa ni bora kuliko wao, mkiendelea kuwa na imani hizi za kijinga Yanga atatangaza ubingwa mapema sana.
Bado mnaamini Yanga inatumia bahasha na Tigo Pesa kupata matokeo? Mashabiki wa Simba ni miongoni mwa mashabiki wajinga kuwahi kutokea Dunian, yaani wanaamini zaidi propaganda kuliko uhalisia wenyewe.
Viongozi wao wanawalisha propaganda kuwa wana timu bora kumbe uongo mtupu.
Ikitokea wamepelekewa moto na timu za ligi kuu halafu hiyo timu ikaja kupigiwa soka la kiwango cha SGR na Yanga, utasikia wanavobwabwaja kuwa hiyo timu imecheza chini ya kiwango tofauti na ilivocheza na wao!
Yaani hawaamini kama Yanga kwasasa ni bora kuliko wao, mkiendelea kuwa na imani hizi za kijinga Yanga atatangaza ubingwa mapema sana.