Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Ninafuga kuku wa kienyeji hapa shambani kwangu. Kwa kweli kuku wanastawi vizuri na nilishaanza kufurahia matunda ya jasho langu, lakini ghafla nilianza kuona mayai yakipungua wakati kuku wanataga kila siku. Niliamini pasipo na shaka itakuwa nyoka...
Habarini wandugu.
Kuna tabia inazidi kushika kasi katika jamii zetu na usipokuwa mwangalifu utajikuta unaumizwa kila kukicha. Ingawa imeshamiri sana kwenye mahusiano ya kimapenzi (wengine huita kuwekana friend zone), lakini iko sana hata kwenye mahusiano ya kijamii tuu, kwa ndugu, jamaa na...
senti yangu hailiwi kisela. Haijaliwa pussy na haijachomolewa senti, bado tunasumbuana mjini hapa.
Iko siku atafikia dau tuu tena nitalimega kisela na kusepa.
Kuna mmoja alinisumbua miaka miwili, na mimi nikaamua kumpotezea tuzungushane, siku aliyoingia 18 zangu nilihakikisha anaondoka...
Paula Paul,
Ngoma huwa tamu pale mwanamke anapomuweka mwanaume friendzone alafu mwanaume yy anamuweka mwanamke fuckzone. Imenitokea nilifahamiana na mtoto mmoja anajidai mtoto wa mjini.
Nilimsoma mapema sana kuwa huyu ni born town, so alishajipanga kunichuna, so nilijipanga mapema...
Nimesoma post na comments zote lakini kuna hoja za msingi naona hazijibiwi.
Kuna wadau wameuliza, vipi walio vijijini ambapo watu wapo mashambani mwao na hayajapimwa?
Watanzania wengi wanaishi vijijini na wanajenga na kuishi, tena na umeme wamewekewa. Vipi mnasemaje kuhusu watu hawa sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.