Recent content by kiumbe kipya

  1. kiumbe kipya

    KKKT Mna tamaa sana na hela , ona waliyoyafanya na Mzee Mengi

    kwani bibilia haisungumzi habari ya talaka na kuoa??
  2. kiumbe kipya

    Rais kuingilia taratibu za ibada

    wee kweli fisi,tatizo ni nini
  3. kiumbe kipya

    MBEYA: Rais Magufuli ahutubia wananchi Uwanja wa Ruanda Nzovwe. Agusia usajili wa laini na machinga

    mbeya kwao,pili mbunge mtarajiwa mbeya mjini nafasi ya Sugu,vp kuna lingine?
  4. kiumbe kipya

    Wanaume hamuwezi kunitongoza bila kuniuliza una mtoto au unafanya kazi gani?

    hahah ,tena una hahatai maana unaulizwa kwanza ili mtongozoja ajue hitaji lake,sio akae kimya umpe msibo baadae ajue huna kazi na una mtoto juu,jua hutomwona tena, na mzigo atakuwa keshagonga ni hayo tu.
  5. kiumbe kipya

    TISS (Usalama wa Taifa) mkiona inafaa, anzieni hapa

    wee kwanza unasali ijumaa au jumapili labda thanzie hapo
  6. kiumbe kipya

    TISS (Usalama wa Taifa) mkiona inafaa, anzieni hapa

    unafikiri hiyo ID yako fake ndo umejificha sana?
  7. kiumbe kipya

    Wapi yupo mzee wangu mambosasa?

    anakunywa chai kwanza
  8. kiumbe kipya

    Kuoa mwanamke mwenye umri wa 25+ ni hatari sana. Soma hii...

    tena hao ndo wabaya kweli kweli mkuu,kifo nje nje.
  9. kiumbe kipya

    Mara nyingine maisha ya ndoa ni Vita. Huyu jamaa sijui nimfanyeje?

    mhhhh,huyo jamaa anapata wapi ujasiri wakumambia wif wako(rafiki)yake apitie hiyo guest????????? ndugu fungua ubongo wa ziada.
  10. kiumbe kipya

    Mimi ni muathirika wa UKIMWI

    bora maana inaonekana jamaa anajujua mwenyewe
  11. kiumbe kipya

    Mimi ni muathirika wa UKIMWI

    inaonyesha ni jinsi gani ngoma iko used
  12. kiumbe kipya

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    hata Rose Mhando pia Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom