Nina wasiwasi na huyo kiongozi inawezekana kabeba jina la uislam lakini isije ikawa ndio hawa wanaoingia misikitini na kuua watu hovyo halaf wanavaa vazi la uislam na asichafue uislam
Hata hivyo jay one mbona mi naona huyo lissu hata hatambui alichosema anamaanisha nini maana unapompa mtu sifa ya uchwara it meanz anajifanya na sio halisi
Mi naungana na jires kuhusu huyu mama kwani haya anayosema leo wakati yanafanyiwa maamuzi si alikua pale na alikua mtendaji wa Ngazi ya juu tu? I stand to be corrected wanajamvi
Kumbukeni kuwa Obama alipokua anaingia madarakani move ilikua kama hii na wengine hata walikua wanalia kuonyesha sympathy wakimaanisha mkombozi amekuja, lakini leo wanaandamana na mabango wakipinga sera zake ikiwemo ya ushoga ambayo bila woga kabariki, naomba tutafakari zaidi watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.