Nahitaji kupata ufahamu kidgo juu ya body ya izi noah new shape ni kama jepes sana linachakaa haraka sana na pia linabonyea ovyo ovyo,ni kweli au macho yangu yanaona tofauti
Be blessed..,umeongea vyema sana na ndio tabia halisi tunazokutana nazo kwenye biashara nyingi nionhezee nyingine muuzaji anakwambia hana chenji ivo hawezi kukuuzia.
Asante kwa Elimu hii bora sana hakika imetufungua wengi..,mi nilikua nahitaji kujua soko la unga wa ubuyu(Baobab fruit powder) lipo nchi gani..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye biashara mtu muhimu sana ni mnunuzi..,mkuu nafikiri anza kwanza sokoni ukiwa na uhakika na soko waweza maliza changamoto nyingi zikiwemo za usafiri au mtaji mdgo kwa maana kupewa kiazi uuze ndo uje ulipe(mali kauli) na kama mbeya ni mbali pia Njombe kuna viazi vingi sana na barabara nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.