Ndiyo WASIRA alisema ila aliyoyasema hayakuwa documented.Mbona hata KIBANDA aliponyofolewa kucha alitamka kuwa ni mtu mdogo sana baadaye akapinga.Kwa huyu mzee kwa kuropoka kazoeleka.
ISRAEL MARTIN KIDUKO-Mufindi Kusini.Kuna haja sasa ya watu ambao wameguswa na kupata uchungu wa namna rasmali za Taifa zinavyofujwa hovyo na WAJASILIATUMBO kusimama na kusema sasa basi.
UDINI upo ndo maana mkuu wa chuo kakiri.udini udom hauishii kwa wanafunzi tu bali mpaka kwa watumishi ndo maana watumishi wengi waliposikia hilo suala limefika kwa umma wa watanzania walifurahi sana kwani kilio chao kilisikika.Huyo mh.NGAMIA aliyepinga napata wasiwasi pia hata kama taaluma yake...
We MAREHEMU kweli kwani ZITTO KABWE(NAIBU KATIBU MKUU) na SAID ARITH AMOUR(MAKAMU M/KITI BARA) ni WASABATO au WALOKOLE.halafu acha kufikiri kwa mapaja ww UDINI wa nini hapa?
Samahani mtoa mada huyu marehemu alikuwa anatoka Iringa kikazi au nyumbani kwake? coz nahisi namfahamu kama atakuwa alikuwa anaishi Iringa.Naweza hili kama kuna mdau alimfahamu marehemu vizuri. msaada tafadhari.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI.AMINA
Samahani mtoa MADA huyu marehemu alikuwa Iringa kikazi au nyumbani kwake? kama ni nyumbani kwake basi nahisi atakuwa anatokea maeneo ya Mufindi katika kijiji kinaitwa Nzivi of course kama ni yeye basi kwa maeneo yale alikuwa mtu maarufu sana ingawa kiutendaji sikuwahi kumdetail zaidi katika uhai...
Wadau; SUMATRA jana ilitangaza viwango vipya vya nauli huku usafiri wa Treni ambao kwa kiasi kikubwa ni kimblio la WATANZANIA wa hali ya chini kiuchumi ukipandishwa bei mfano Dar es Salaam-Kigoma Sh27,500(sasa) Sh19,084(zamani).Je gharama hizi zimezingatia hali ya mlaji hususani Mtanzania wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.