Saumu aomba ulinzi wa CCM!

Saumu aomba ulinzi wa CCM!

CHADEMA imeshikwa pabaya mwaka huu. M4C imedoda haisikikii!
 
Mbona walisema CHADEMA hakuna WAISLAMU? Ah NDIO MAANA anaomba ULINZI wa CCM? au ULAJI wa CCM? How NICE

We MAREHEMU kweli kwani ZITTO KABWE(NAIBU KATIBU MKUU) na SAID ARITH AMOUR(MAKAMU M/KITI BARA) ni WASABATO au WALOKOLE.halafu acha kufikiri kwa mapaja ww UDINI wa nini hapa?
 
We MAREHEMU kweli kwani ZITTO KABWE(NAIBU KATIBU MKUU) na SAID ARITH AMOUR(MAKAMU M/KITI BARA) ni WASABATO au WALOKOLE.halafu acha kufikiri kwa mapaja ww UDINI wa nini hapa?

Ninaongelea JINSI RAIS KIKWETE alivyokuwa anasema wakati wa UCHAGUZI 2010; Jaribu kufuatlia HOTUBA zake...
Yeah pia ni chama cha ENEO MOJA tu lakini kuna Wanachama hadi IRINGA MBEYA...

Samahani
sikutukani naongelea hoja SIJUI kwanini unaniita MAREHEMU? Kama hauna POINT za KUNIJIBU is it necessary to undermine me? is it really necessary? I do have a point here... MFANO NAPE NNAUYE anavyosema CHADEMA ni CHAMA cha WACHAGGA he overlook kina ZITTO na hao WENGINE uliowataja na Wananchi Wengine wanaamini hivyo
 
Yaani ndipo Ccm walipofikia? Kuhonga watu kuchafua cham cha upinzani! Anyway labda ndo dalili za kifo
 
Jamaniiii


Kwanza Saumu, haitwi jina hilo Saumu Mulugu, labda mwingine.

Na wala hakuwa idara ya ulinzi,

Na aliondoka chadema zamaniiii mwaka jana, mapema tu.


Acheni ujinga.
 
Mbona walisema CHADEMA hakuna WAISLAMU? Ah NDIO MAANA anaomba ULINZI wa CCM? au ULAJI wa CCM? How NICE

Zitto katika ufafanuzi wa barua aliyomwandikia Katibu mkuu ametahadharisha kuwa kuna "kirusi" kirusi kilicho karibu sana na viongozi waandamizi. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-ya-zitto-kuhusu-lwakatare-maelezo-yangu.html

Je ndiye huyo mtajwa katika uzi huu au ni katika kupotezea watu malengo?

Je mleta mada nae ni "kirusi"? Kirusi kilichopo Lumumba au nae ni katika kupoteza watu njia?

Je "virusi" ni double agents?

Kuna hii kiumbe imekuja na utani wa kisiasa. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kirusi-hiki-ni-nani-na-the-motive-behind.html

04/2013 kuelekea 2015! Safari ni refu....
 
CHADEMA imeshikwa pabaya mwaka huu. M4C imedoda haisikikii!

Sawa ndugu kinachosikika kwa sasa ni uwajibikaji wa Sekretariet mpya ya CCM na uonyeshaji wa mafanikio ya awamu ya nne kwenye TV, kwa hilo CCM ipo juu na mangula Ameisha waadhibu na kuwavua madaraka wote waliopata madaraka ndani ya CCM kwa Rushwa.
 
sasa nyie machadema mnataka kwenda kumung'oa meno na kucha huyu dada bila ganzi?
mwisho wenu waja.




Hatimaye kada wa CCM aliyetimkia huko baada ya kuwa CHADEMA Makao Makuu,Saumu Malungu ameomba ulinzi CCM. Hii inafuatia kutajwa kwake na Mkurugenzi wa Sheria wa CHADEMA,Wakili Msomi Tundu Lissu kuwa ndiye anayeratibu mipango ya kupika ushahidi na kuandaa ushahidi dhidi ya Winfred Lwakatare.

Ni leo tu ambapo Saumu aliripotiwa na gazeti la Tanzania Daima kuwa alinaswa akiwasiliana na kiongozi mwandamizi wa CCM ambaye ni mratibu wa mpango wa Lwakatare kichama. Saumu anatumiwa kwakuwa alikuwa Idara ya Usalama ya CHADEMA na kwakuwa anajua kila linaloendelea CHADEMA Makao Makuu.

Mnamo majira ya saa kumi na mbili na nusu jioni hii,Saumu alifika hapa Ofisi Ndogo za CCM Lumumba ili kuwasilisha ombi lake la kuomba ulinzi na haraka akakabidhiwa kwetu kama Kitengo cha Ulinzi cha CCM. ‘Niko hataraini. Inadaiwa kuwa nimeshtukiwa. Kuna ‘wenzangu’ wamenisaliti ndani ya CHADEMA. Wamevujisha siri za mipango yetu’ alisema Saumu akionekana kuwa na shaka kuu.

‘Nilindwe. Mwigulu Nchemba kwasasa hanipi msaada wa kutosha.Nilianzia UVCCM pale ambapo wamenielekeza nije hapa. Tafadhali nilindwe ilinimalizie kazi yangu’ aliongeza Saumu Mulungu.

Baadhi ya vigogo hapa Lumumba wameonesha hofu kuu katika kuharibiu taswira ya chama juu ya suala hili. Wameapa kuwatenga wote wanaohusika na mpango huu haramu,kama kweli upo. Kuna sintofahamu kubwa hapa Lumumba.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam.



 
Tabia kama hiyo haipo CDM kwani sisi ni true democrats tunaoelewa maana halisi ya demokrasia na siasa komavu siku zote.

sasa nyie machadema mnataka kwenda kumung'oa meno na kucha huyu dada bila ganzi?
mwisho wenu waja.
 
HAKIKA WACHANGIAJI HAPAJF MNATUBOA WAPENDA MIJADALA YA KITAIFA NA SIO KICHAMA.
INAKUWAJE KILA THREAD MNASHAMBULIA CCM TU? HIVI JF IMEKUWA SIO YA KIJAMII TENA? NI YA MPAMBANO KATI YA CHADEMA NA CCM MEMBERS TENA WALE WASIO WAADILIFU? MN hT nMN y UCHngiJI WAO UNATIA SHAKA KAMA KWELI NI WANAZUONI!

TOO MUCH HEBU ACHENI KUPOTEZA MAANA HALISI YA JF. KILA THREAD KWA ASILIMIA ZAIDI YA 90 INALENGA KUTUKANA CCM MBONA HATUONI HIVYO KWA OPPOSIT?

KWANJIA HII HATA IMANI YA KWENDA UKULU MNAKOKUSEMEA INAPOTEA MNAWATUMIA WATU WA VIJIWENI SANA NA NDIO WANAOWAHARIBIA CHADEMA WANADHANI SIASA NI MATUSI NA KUBEZANA KATIKA KILA JAMBO.

TOO MUCH IMEBIDI NIFUNGUKE KULALAMIKIA HALI HII.:shut-mouth:
 
Chadema mbona hawaeleweki si wanasema ile video ni feki.
 
tusubiri mengi tutayasikia ukweli ukimwanga au kimsaliti mwenzio hakika utapata adhabu hapa hapa duniani
 
CHADEMA mkicheza na mbwa ataingia msikitini. Chungeni hawa
 
Watanzania yetu macho wito wangu kwa rais Kikwete hivi kweli umeacha chama alichoasisi Baba wa Taifa sorry mzee nyerere kikimalizwa na akina Mwigulu Nchema shauri utakabidhi nchi kwa CHADEMA.

Hapo penye nyekundu ulitaka kumharibia siku baba R1 na hapo kwenye blue roho yake imesuuzika
 
hakika wachangiaji hapajf mnatuboa wapenda mijadala ya kitaifa na sio kichama.
Inakuwaje kila thread mnashambulia ccm tu? Hivi jf imekuwa sio ya kijamii tena? Ni ya mpambano kati ya chadema na ccm members tena wale wasio waadilifu? Mn ht nmn y uchngiji wao unatia shaka kama kweli ni wanazuoni!

Too much hebu acheni kupoteza maana halisi ya jf. Kila thread kwa asilimia zaidi ya 90 inalenga kutukana ccm mbona hatuoni hivyo kwa opposit?

Kwanjia hii hata imani ya kwenda ukulu mnakokusemea inapotea mnawatumia watu wa vijiweni sana na ndio wanaowaharibia chadema wanadhani siasa ni matusi na kubezana katika kila jambo.

Too much imebidi nifunguke kulalamikia hali hii.:shut-mouth:

ukweli unauita matusi!, wewe vipi
 
Back
Top Bottom