Usimlaumu huyo mama wakulaumiwa ni kundi kubwa la watanzania lililopo nchi hii ambalo Asilimia Zaid ya 80 ni wajinga na malofa wasiojua kufikiria vilivyo chanya na hasi ndo maana tutaendelea kuburuzwa na wanasiasa mpaka siku ya kiama
Bora lawama mkuu kuliko kusaidia watu ambao hawana msaada na wewe maana ukijifanya mwema sana kwa kuwasaidia mwisho wa siku ni ngumu kumridhisha binadamu akaridhika na utaishi maisha yasiokuwa na furaha milele
Huyu jamaa kwenye siasa yupo vizuri sana ila tatizo lake anajaribu kujionesha ni mwamba mwenye misimamo mikali ya mwamba Magufuli, pasipo kusoma alama za nyakati ili angalau Aishi kinafki na team ya upigaji madili ya msoga gang kwa ushauri ningemshari ni heri akatae teuzi zao kama hawezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.