Recent content by kitorori

  1. K

    JamiiForums Tanzania Shetan gani kawaingia madada wazuri hivi wanavuta shisha jamani

    Usituletee mabalaa wewe
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Wanawake wengi unajisikia vibaya kwa hiyo mmoja,kwani ni mama yako,acha uzembe piga chini oa nyingine omba uhamisho zalisha watoto wengine,mwisho tafuta sana Hela maana kazi ya ualimu unayoifanya ndiyo inakusababisha kuwa mnyonge mpaka mkeo anakudharau anaona mjeda ni nafuu kuliko wewe
  3. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 David Silinde: Samia ukipata kura chini ya 95% unipige bakora mbili

    Umemaliza yote kongole kwa kuusema ukweli huu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Broiler sio kuku wa kula kabisa!!

    Ukienda Zambia Wanaita fimbombo ni hatari na nusu
  5. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kibamba: Askari wa Usalama barabarani (Traffic) eneo la Bwawani wanapokea rushwa waziwazi

    Za kubrashia viatu wewe,acha kuwanokolea wenzako!
  6. K

    JamiiForums Tanzania wizi wa baiskel yangu nimeambiwa nikitoa taarifa polisi nitatimua nyuki

    Sasa so umwachie tu,angekuchukulia make si ungejinyonga achana naye
  7. K

    JamiiForums Tanzania Umahiri na weledi wa kisheria wa wakili Nassoro Katuga ni wa kiwango cha juu mno mahakamani, hacheki na mtu, hahitaji ushabiki, wala hana mzaha

    Apunguze miaka ya nani Ili kumpa yeye maisha marefu,kwenye kuishi Mungu hapangiwi
  8. K

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara takribani 90% wana maisha magumu. Kijana usidanganyike na mafanikio ya wachache, Business is not for everyone!

    Hizo kazi za mshahara huko ziko ngapi,na wafanyabiashara wenye faida km hizo wako wangapi,akili ya kawaida tu inakwambia wafanyabiashara ni wengi
  9. K

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara takribani 90% wana maisha magumu. Kijana usidanganyike na mafanikio ya wachache, Business is not for everyone!

    Umemaliza meneja,achana na wenye ndoto za kuajiliwa,wanapenda utumwa wa hiyari
  10. K

    JamiiForums Tanzania Maboresho ya Tunduma

    Labda huijui Tunduma na jinsi magendo yanavyopita,magendo yanapita kwenye mfumo,magendo ya kufukuzana watu waliacha ni mwendo wa au basi
  11. K

    JamiiForums Tanzania Maboresho ya Tunduma

    Wenzio wanabomoa kuta wewe unawaza kujenga kuta,polisi,uhamiaji na jeshi Wana kazi Gani mpaka uanze kujenga kuta,unarudi nyuma badala ya kwenda mbele
  12. K

    JamiiForums Tanzania Hakuna watu wanaonaga wameyapatia Maisha, kama watumishi wa serikali wakiwa wamepanda kwenye hizi gari

    Wafanyakazi wa halmashauri wakikaa kwenye kruza utfikiri wanamiliki wao,wanabadilosha na kiswahili wanaogea kiswanglish
  13. K

    JamiiForums Tanzania KERO Wizara ya Uchukuzi imeshindwa kazi: Wilaya ya Temeke, hasa Kurasini karibu na Bandari haipitiki, imejifunga kwa wingi wa malori

    Halafu malori tuyapeleke wapi ,mtu mmoja ananunua howo mia mbili kwa wakati mmoja nyie mnalalamikia foleni,pambaneni tu na maisha yenu,acheni wakubwa wafaidi nchi
  14. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Uongozi wa TRA Dar una habari na manyanyaso yanayofanywa na staff wao kwa wateja wanapotembelea matawi yao kupata huduma?

    Kwani hao viongozi wao sio TRA huko kumeoza mkuu wanafanya kazi kwa nyodo sana wewe watembelee ujionee
Back
Top Bottom