Recent content by kitogele MO

  1. K

    Natafuta majibu ya swali hili toka kwangu

    mkuu ok shida MIKONO TU na kunawa nazingatia sana but hii imeanza ni siku ya tatu sasa ina washa tu Viganja vyote na vidole pamoja na katikati ya vidole ngozi ya juu ya mkono haiwashi kabisa
  2. K

    Natafuta majibu ya swali hili toka kwangu

    Msaada waungwana leo ni siku ya tatu nawashwa mikono yangu(kulia na kushoto) Kwenye viganja vyote na vidole vyote na nafasi iliyopo katikati ya vidole Hii ni maana gani? Au dalili ya nini kama kiafya?
  3. K

    Pesa TBL wanaipatia Serikali ni kubwa kuliko ya Utalii, tuhamasishe pombe

    Sisi ndio tunaconvert wao wanakuja na fedha za kigeni
  4. K

    Pesa TBL wanaipatia Serikali ni kubwa kuliko ya Utalii, tuhamasishe pombe

    Fedha za kigeni utazipata wapi? Mana zinatumika katika manunuzi nje ya nchi
  5. K

    Jumuiya ya Kikristo Nchini yatoa wito wa Serikali kutoingilia Mahakama

    Wateule wa mahakama ngazi za juu hupangwa na nani tuanzie hapo?
  6. K

    THRDC: Ujio wa Kamala Harris ni matokeo ya kuimarika kwa Haki za Kibinadamu na Utawala Bora

    Haki za binadamu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tutafute hela tu haki zitatufwata
  7. K

    UTEUZI: CCM yawateua wagombea Ujumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)

    Halima yahya(divana)- muigizaji
  8. K

    Huu ni ulimbukeni wa kupindukia

    Mkuu mbna majira haya umeleta uzi huu, je kunakitu unazungumzia unakificha? Nyoosha maelekezo EASY, don't hit around the bush
  9. K

    Rais Samia ateuliwa kuwa mgombea wa Uenyekiti wa CCM

    Kongole kwake, ataupiga mwingi 2027
  10. K

    Utofauti wa mwonekano na Bei za Behewa SGR Kenya vs Behewa SGR Tanzania

    tumechoka sana ni vile hatuna nchi nyingine ya kwenda
  11. K

    Tumuelewe nani sasa Kati ya hawa wawili kuhusu mabehewa ya treni

    Vita vya wenyewe kwa wenyewe, vp tuongeze mapanga?
  12. K

    CCM wanaleta siasa za kijima. Wanapanga wenyewe sherehe baadaye anatokea kiongozi wao anaghairisha ili wapate sifa

    Mkuu unaona kwenye harasa ya maandalizi je huoni pesa zingine zimepelekwa kwa jamii zetu?
Back
Top Bottom