mkuu ok shida MIKONO TU na kunawa nazingatia sana but hii imeanza ni siku ya tatu sasa ina washa tu Viganja vyote na vidole pamoja na katikati ya vidole ngozi ya juu ya mkono haiwashi kabisa
Msaada waungwana leo ni siku ya tatu nawashwa mikono yangu(kulia na kushoto)
Kwenye viganja vyote na vidole vyote na nafasi iliyopo katikati ya vidole
Hii ni maana gani? Au dalili ya nini kama kiafya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.