Leo nipo nyumbani nilipowaambia watoto zangu wawili ambao umri wao tayari kujiandikisha ,waende kwa jambo ,walinishangaa wakaniambia baba wewe siumebaki miaka michache usitaafu
Mimi nilipata passport mpya baada ya siku 40,tena baada ya kufatilia kwa sana, pale mjini wakati maombi nilipeleka ,uhamiaji kurasini,chaajibu nikaambiwa samahani mzee katafute cheti chengine hiki tarehe ya kuzaliwa hainokeni ,nikawajibu haiwezekani mbona sehemu zote natumia hiki sijawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.