Recent content by kitofio

  1. kitofio

    Je, Tanzania tunatambulishwa kwa kipi? Nchi yangu inapoteza utambulisho

    mitahara ya elimu sio mitaala ya elimu kweli tumekosa hata identity hata ya lugha yetu
  2. kitofio

    CHADEMA wakubali kuwa wamekuwa wakikosea sana

    Vihele vihele ndio nini ?
  3. kitofio

    Wakati saruji Kenya ikiuzwa Tsh 12,000/=, Tanzania inauzwa Tsh 24,000/=

    Mtoa mada amesema tsh 12,000 kwa mfuko sasa hii kubadili pesa inakujaje
  4. kitofio

    GE2020 Mgombea Ubunge jimbo la Kibamba kupitia ACT-Wazalendo ajieungua

    Amejiengua kugombea sio amejiengua kutokugombea
  5. kitofio

    Buriani: Watanzania Wengi Hawakumjua Rais Mkapa. Nami Nishuhudie

    hapana mkuu mwaka 2000 june ilikuwa 1$=800tsh
  6. kitofio

    Rais Magufuli, ikimbie hasira ya Mungu

    Leo nipo nyumbani nilipowaambia watoto zangu wawili ambao umri wao tayari kujiandikisha ,waende kwa jambo ,walinishangaa wakaniambia baba wewe siumebaki miaka michache usitaafu
  7. kitofio

    Uhamiaji na urasimu wa kupata hati ya kusafiria

    Mimi nilipata passport mpya baada ya siku 40,tena baada ya kufatilia kwa sana, pale mjini wakati maombi nilipeleka ,uhamiaji kurasini,chaajibu nikaambiwa samahani mzee katafute cheti chengine hiki tarehe ya kuzaliwa hainokeni ,nikawajibu haiwezekani mbona sehemu zote natumia hiki sijawahi...
  8. kitofio

    Kigoma yaanza kufunguka

    Hivi nani alaumiwe na nani tumpongeze kwa hili la kigoma?
  9. kitofio

    Mmoja wa Mawakili wa Erick Kabendera aeleza kinachoendelea

    Sijaelewa vyema alikamatwa,29-july ,kosa la uchochezi ni 31-july kwa hiyo alikamatwa kabla ya kutenda kosa
  10. kitofio

    Zanzibar: Kuepusha Machafuko/Vurugu wakati wa Uchaguzi Mkuu 2020, Nini Kifanyike?

    Nikweli hakuna kitisho kwa vile mmetushika ndipo, ya Mh Jecha wala si kitisho
  11. kitofio

    Je, Zanzibar inaweza kupinduliwa tena 2020 kama ilivyokuwa 1964?

    Sehemu, kijiji katika Tz, mtaa katika Tz, kata katika Tz, Tarafa katika Tz, wilaya katika Tz, mkoa katika Tz au vereje kwa lahaja ya kwetu?
  12. kitofio

    Bashiru Ally: Kuna Wakuu wa mikoa wanne wameanza kampeni ya ubunge

    Hapana isipokuwa watafuta ubunge kwa tiketi ya ccm, ndio maana akakimbilia huko
Back
Top Bottom